babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,091
- 15,983
AHMADA UMELEWAMnaharibu hadhi ya JF kuna siku mtu atapost anatafuta demu wa kuto%*"£$?:><"£$%^&*(()|%mba
babu kula hiyo w-end njema.
Last edited by a moderator:
AHMADA UMELEWAMnaharibu hadhi ya JF kuna siku mtu atapost anatafuta demu wa kuto%*"£$?:><"£$%^&*(()|%mba
mwambie ashuke tu mademU wa kuoa hamna ila wa kuwowa wapo kibwena yeye aje tu ntampatia kwa bei ya JF,mwambie ani PM tufanye biashara kama baridi lishamuelemeaWatanzania wenzangu nimepewa swali hili na kakangu ambae tangu akiwa tanzania
alikuwa mwoga wa vitko vya mabinti wa kibongo akaniuliza bongo kuna
mademu wa kuoa???.
Kama wapo naombeni mni PM Niwape connection
hakuna kuna revola tu!!! :confused3:
Watanzania wenzangu nimepewa swali hili na kakangu ambae tangu akiwa tanzania
alikuwa mwoga wa vitko vya mabinti wa kibongo akaniuliza bongo kuna
mademu wa kuoa???
Kama wapo naombeni mni PM Niwape connection
Madem ndio kina nani?Ni bahati mbaya iliyooje!
Ndo maana anawakosa kwa sababu yeye anatafuta madem!
MADEM wa kuolewa hawapo, lakini WANAWAKE WA KUOLEWA WAPO WENGI SANA!
Watanzania wenzangu nimepewa swali hili na kakangu ambae tangu akiwa tanzania
alikuwa mwoga wa vitko vya mabinti wa kibongo akaniuliza bongo kuna
mademu wa kuoa???
Kama wapo naombeni mni PM Niwape connection
yes wapo ..........infact nipo.........waschana pia tunasema IVI KUNA WANAUME WA KUOLEWQA NAO BONGO???????MANAKE WOTE WANAOPROPOSE NDO WALE WALEW kwaiyo hofu pande zote mbl
.......magumashi ni weng .....wu to trust is bg kitendawili na ukiingia kichwa kichwa ni balaa ........afta 1yr talaka unaidai mahakamani cz janaume si janaume bali ni pbm factory...... mpe cntacts yangu nimpe bint mpole...........wawasiliane wakipimana mawazo na km code n chemistry ipo baina yao watajua cha kufanya ...bint nio graduate poliotical science mlimani tangu atendwe anaogopa wakaka
yap ............thats t
awe makin wakuoa wapo weng tatizo wa ukwel awapatyikan magumash ndo weng.....jst brng his email n iwl foward t to the gal told u abt.she is 27,PS PA udsm......