The Following User Says Thank You to Kishongo For This Useful Post:Mkuu, ni SHIMBO si Shombo. Iwapo ulibadilisha makusudi yafaa ufikirie upya ili JF isijeonekana ya kihuni. Hata kama tunatofautiana naye hakuna haja ya kufanya majadiliano ya ki-maji taka. Huo si utamaduni wetu.
Last week i was driving down to Mbeya and i was shocked with the unusually huge amounts of army vehicles going up and down. Then i knew we are in for a rough ride.