Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,101
- 6,027
Nina rafiki yangu mmoja alitegemea kufunga ndoa mwezi huu wa 10 na mdada falni ambae ni mwanajeshi wa JW. Vikao vishakaliwa na kila kitu kilikuwa pouwa kabisa, ila juzijuzi tu yule dada kapewa tamko kwamba jeshi limezuia Likizo na hamna Ndoa kufanyika mpaka uchaguzi uishe. Na yule mshkaji kaniambia kwamba wapo kweye mazoezi makali kiasi kwamba yule dada kwa sasa ni full time service huko jeshini. Nashikwa na wasiwasi sana hasa nikiifikiria na ile kauli ya Mnadhimu SHOMBO.......