Hasira za nini kwa wanavyuo wetu ili hali mmeshindwa kufukuza mijizi na mafisadi. Hivi mijizi ya EPA inasamehewa, wengine wana makashfa kibao eg Geleja, uto, rowosa, chenga,jaiiro,rost-tamu nk. Mbio kwa wanafunzi ambao athari zao si kubwa kama za mijizi ya rachmond,metameta, wepa, do wazi nk. au kwa vile wao ni watoto wa maskini?