i mean in bed....:mullet::wink2:
Mkuu mtoa mada hapo umelonga! On top of that nakabiliwa na kuwachoka wanawake haraka sana. Yaani baada ya mwaka simtamani hata kumwona huwa najilazimisha tu. Maoni yenu yatasaidia wengi
Du hii mada inanichanganya mm nna mwanamke mmoja ninamchoka ndo maana najilazimisha hata kuwakodolea macho wengine, labda Sheriff anawapitia wengi swala ni yule wa ndoa au mwenye watoto wa3 na mmezoeanamimi nakabiliwa na kuwachoka wanaume....watusaidie tu jamani....:decision::decision::hand::hand:
Mkuu mtoa mada hapo umelonga! On top of that nakabiliwa na kuwachoka wanawake haraka sana. Yaani baada ya mwaka simtamani hata kumwona huwa najilazimisha tu. Maoni yenu yatasaidia wengi
mimi nakabiliwa na kuwachoka wanaume....watusaidie tu jamani....:decision::decision::hand::hand:
Mkuu mtoa mada hapo umelonga! On top of that nakabiliwa na kuwachoka wanawake haraka sana. Yaani baada ya mwaka simtamani hata kumwona huwa najilazimisha tu. Maoni yenu yatasaidia wengi
Ni muhimu ni mwanamke kuwa mbunifu ili amvutie mwanaume, kimavazi, kisauti na kiuwajibikaji (wakati wa majambozi). Kamwe asibweteke. It is very possible mwanaume akaendelea kupata 'kick' bila shida. On the other hand, mwanaume nae lazima atafute namna mbalimbali za kumburudisha mkewe kama vile kubadili venue (you can also decide to spend one night at a different place), bafuni, chini, corridor, n.k. Mnaweza kubadili styles za kubanjuana. Wakati mwingine mnamwomba house girl wenu aondoke na watoto kwenda beach waka-enjoy ili ninyi mpate uhuru wa kubanjuana hata kwenye maeneo ya jikoni. So life goes that way!
Toka mwanzo nimemfanya mke wangu kama rafiki, tuko huru kuambiana, kuna siku tunakorofishana ila nashukuru kipindi cha ugomvi hakichukui muda mrefu, ila ndoa yangu ni miaka 4 tu labda naweza kuwa sistahili kutoa uzoefu.
Nyie wa anniversaries za miaka kumi ya ndoa na kuendelea hebu tupeni "usoefu" wenu pls!!