Kesho lazima tusikie jamaa aliyeirusha bila ku-edit amefukuzwa kazi!!
Slaa ni noma, kuna kazi kwelikweli mwaka huu!! CCM kila wakibana jamaa anapenya ka sindano!! Kashfa kubwa waliyomtwisha ndo inapoteza umaarufu hvyo sijui watakuja na ipi dis tym,
Hahahaaaaa, kumbe na midahalo wamekimbiaaaaa
TBC na ITV vimetekwa na mafisadi, Mengi kazidiwa na Rostam.Code:
hakukatishwa ila hoja zake ziliishia pale ,katika uchaguzi watu wachonganishi kama wewe ni hatari sana. Kumbuka wagombea wapo wengi na kila mmoja ana hoja zake.
Aliyekwambia Mengi ni mpambanaji wa ufisadi ni nani?Mengi alijifanya kutaja mafisadi papa wakati yeye ndiye papa mkubwa kuwashinda wengine? Kama yupo kinyume na mafisadi papa, ni vipi tena hivi sasa anawalinda ili waendelee kubaki madarakani. Huyu mzee naye choka mbaya, naona walianza kumfilisi taratibu hadi akawa anashindwa kulipa mishahara, sasa ameona ajibanze kwao ili wamlinde. Kaaazi kweli kweli.
tbc na itv vimetekwa na mafisadi, mengi kazidiwa na rostam.Code:
hakukatishwa ila hoja zake ziliishia pale ,katika uchaguzi watu wachonganishi kama wewe ni hatari sana. Kumbuka wagombea wapo wengi na kila mmoja ana hoja zake.