Mheshimiwa anasema Wizara ya Miundo Mbinu ikiwezekana ibadilishe sheria kwamba dereva atayesababisha ajali na kuua abiria anyang'anywe leseni,akatafute kazi nyngne ya kufanya!!!
Jamani wana JF hii si inaweza ikaongeza majambazi nchini?
Nyi mnaionaje hii kitu?
Na anayeingiza nchi kwenye mikataba mibovu inayoumiza mamilioni ya wananchi je afanywe nini, au amefanywa nini?
Je kuna Dereva anaepanga kuua kwa kudhamiria?
Lakini mambo ya kifisadi yote yanapangwa vizuuri mezani, watu wanabipiana wee, hadi wakubaliane dau! , je wao wafanyweje?
Mi nakwambia, sheria hizi za jinai zinawalenga watu wadogo!
Hiyo ndo jino kwa jino au tit for tat kwa watu wa hali ya chini!
Shauri zenu, chekeni nae!
Mheshimiwa anasema Wizara ya Miundo Mbinu ikiwezekana ibadilishe sheria kwamba dereva atayesababisha ajali na kuua abiria anyang'anywe leseni,akatafute kazi nyngne ya kufanya!!!
Jamani wana JF hii si inaweza ikaongeza majambazi nchini?
Nyi mnaionaje hii kitu?
Mheshimiwa anasema Wizara ya Miundo Mbinu ikiwezekana ibadilishe sheria kwamba dereva atayesababisha ajali na kuua abiria anyang'anywe leseni,akatafute kazi nyngne ya kufanya!!!
Jamani wana JF hii si inaweza ikaongeza majambazi nchini?
Nyi mnaionaje hii kitu?
Mheshimiwa anasema Wizara ya Miundo Mbinu ikiwezekana ibadilishe sheria kwamba dereva atayesababisha ajali na kuua abiria anyang'anywe leseni,akatafute kazi nyngne ya kufanya!!!
Jamani wana JF hii si inaweza ikaongeza majambazi nchini?
Nyi mnaionaje hii kitu?
Ni kweli ndugu yangu mbona watuhumiw wa richmond anawachekea tu? Kwa nini asiwanyang'anye leseni ya kazi (kuwafukuza kazi)? Niliwahi kutembelea Norway lakini cha ajabu wakati nasafiri kwenye basi dereva alikuwa ana hakikisha havuki speed 80km/hr na wala hatukuwa na askari ktk basi. Nilimuuliza nilipofika kwa nini hawezi kwenda zaidi ya speed hiyo akasema gharama atakayolipa akikamatwa ni kubwa bora achelewe njiani.
Sisi hapa TZ tunachekesha tu eti utakuta traffic pollice wapo kwenye basi kumdhibiti dereva, huu ni ujinga!! weka sheria kwamba "over speedig faini yake ni US $ 500 na kunyang'anywa leseni" uone kama mtu atathubutu. Kwa sababu Norway kwa mwaka 2007, faini ilikuwa NOK 300 na kunyang'anywa leseni.
Ni kweli ndugu yangu mbona watuhumiw wa richmond anawachekea tu? Kwa nini asiwanyang'anye leseni ya kazi (kuwafukuza kazi)? Niliwahi kutembelea Norway lakini cha ajabu wakati nasafiri kwenye basi dereva alikuwa ana hakikisha havuki speed 80km/hr na wala hatukuwa na askari ktk basi. Nilimuuliza nilipofika kwa nini hawezi kwenda zaidi ya speed hiyo akasema gharama atakayolipa akikamatwa ni kubwa bora achelewe njiani.
Sisi hapa TZ tunachekesha tu eti utakuta traffic pollice wapo kwenye basi kumdhibiti dereva, huu ni ujinga!! weka sheria kwamba "over speedig faini yake ni US $ 500 na kunyang'anywa leseni" uone kama mtu atathubutu. Kwa sababu Norway kwa mwaka 2007, faini ilikuwa NOK 300 na kunyang'anywa leseni.
Hapo ndipo huwa napata shida sana. Hiyo ni kauli ya rais wa nchi mwenye dhamani ya maisha ya watu karibia milioni 40? Wanaharakati wanasema namna hiyo; PM, mawaziri na viongozi wengine wa serikali nao hivyo hivyo. Hivi nani kwenye nchi hii anaweza kutoa kauli yenye uzito sawa na dhamani aliyopewa? Asipopatikana huyo tutaendelea kutwanga maji kwenye kinu!!Wa mmoja;544440]Mheshimiwa anasema Wizara ya Miundo Mbinu ikiwezekana ibadilishe sheria...
Simple solution to complex issues! Utadhani kwamba hatujui wenzetu wanafanyaje? Tuna macho lakini hatuoni, tuna masikio lakini hatusikii..!! Sasa kwa nini tunafuja hela za umma bure kutembea huku na kule kama hatuwezi kujifunza kitu? Hii inanikumbusha katuni za "ZERO"....kwamba dereva atayesababisha ajali na kuua abiria anyang'anywe leseni,akatafute kazi nyngne ya kufanya!!!
J...
Huku ndiyo kufanya maamuzi ya juu juu yale yale ya uswahili. Kwanza inatakiwa kuangalia pande zote, sababu na uawezekano gani upo wa ku-monitor tabia za madereva wanapokuwa barabarani. 1. Kuna haja ya kuhakikisha kuwa watoa leseni wanazitoa baada ya kuridhika kuwa dereva amepata mafunzo ya kutosha na anapata leseni yenye uzito wake.
2. Polisi wa barabarani wanatakiwa nao wawajibishwe kuwa wamechukua hatua gani za kuhakikisha madereva wanakuwa "monitored" ili kupunguza hizi ajali
3. Ndipo adhabu kali iwekwe ikiambatana na kushitakiwa, kufungwa na kunyanganywa leseni ya kuendesha magari ya abiria. Aachiwe ya kuendesha tractor tu au lori kutegemeana na uamuzi wa mahakama.
Lakini muhimu zaidi ya yote ni kuhakikisha kuwa wanapata mafunzo ya kutosha na motisha iwe ni kupanda kiwango na mishahara kutokana na takwimu ya miaka ya kazi na namba ya abiria-kms aliobeba na kutembea. Maamuzi ya juu juu hayatatui matatizo kwenye jamii. Hii inaonekana kama ni wazo lilitokea kwenye mazishi ya aliyekumbwa na mauti kwenye ajali.
Mheshimiwa anasema Wizara ya Miundo Mbinu ikiwezekana ibadilishe sheria kwamba dereva atayesababisha ajali na kuua abiria anyang'anywe leseni,akatafute kazi nyngne ya kufanya!!!
Jamani wana JF hii si inaweza ikaongeza majambazi nchini?
Nyi mnaionaje hii kitu?