Mmemchagua Kikwete kwa 60% Sasa Mnalalamika nini Umeme, Maji na Mafuta!!!. Wanafiki

Kamundu

Platinum Member
Nov 22, 2006
6,598
8,738
Watanzania hao hao waliomchagua Kikwete kwa 60% sasa eti wanakuja kulalamikia Maji, Umeme na Mafuta. Sasa Mlitegemea nini wakati kila mtu anajua JK hawazi Kuongoza nchi??. Mmejitakiwa wenyewe na Muache unafiki kama vile mlikuwa hamjui wakati upinzani ulikuwa unasema bayana kuhusu uwezo wa JK. Kama Mnataka mabadiliko yanatakiwa yaanze na watu na kama umempigia kura JK wewe ni sababu mojawapo ya tatizo hivyo usilalamike!
 
So What! Katiba inampa ruksa kufanya mema au Mabaya let him pass time zake ziishe ajiondokee keshaweka historia sikitiko ataenda na list ya waovu wote aliowaponesha Ya Viongozi wa dini wanaouza madawa ya kulevya mafisadi huku na yeye akitajwa nusu ya maisha yake ya utawala kwenye ndege migao mingi ya kila aina Tume lukuki ambazo hazikuzaa cha maana na kila muda zinaanzishwa na najaribu kutizama nione na mazuri sorry nakosa nikikumbuka nitarejea maana mabaya nazidi kuyakumbuka serikalini viongozi kuteuana kiushkaji
 
Wengi hatukumchagua na bado hatuamini jamaa kashindaje utafiti wangu kila niliyemuuliza baada ya uchaguzi alisema hakumchagua na rais anafahamu hili ndio maana hajali kitu zamu yetu kulipa kwa kutomchagua, kamshikishe Tendwa Bible aape kisha aseme ukweli wake kama tulimchagua au la...
 
Mtu mwenye akil timamu hawezi kumchagua kiongoz legelege kama jk.Wachakachuaji ndo walimweka
 
Ewura Mafuta juuuuu!!! Siwapandishe nauli haraka sasa. Vitu kama hivi ndo vinaongeza akili, uchguzi ujao tutakuwa makini zaidi. Hike fare please
 
Watanzania hao hao waliomchagua Kikwete kwa 60% sasa eti wanakuja kulalamikia Maji, Umeme na Mafuta. Sasa Mlitegemea nini wakati kila mtu anajua JK hawazi Kuongoza nchi??. Mmejitakiwa wenyewe na Muache unafiki kama vile mlikuwa hamjui wakati upinzani ulikuwa unasema bayana kuhusu uwezo wa JK. Kama Mnataka mabadiliko yanatakiwa yaanze na watu na kama umempigia kura JK wewe ni sababu mojawapo ya tatizo hivyo usilalamike!
<br />
<br />
Tena hata kura hawakupiga hawa...baeleze baba...u r great great thinker
 
Hiyo heading haiko sahihi. Alichaguliwa kwa 26% kabla ya kushirikiana na Nec na usalama wa taifa kuchakachua na kumtangaza mshindi huku wakishindwa hadi leo kutangaza rasmi jumla ya kura alizopata (angalia web ya nec). Kwa hiyo tutaendelea kulalamika tu maana kura tulimpigia mwingine, halafu tukaletewa "laana"!
 
na kweli, we ar reaping what we sowed! ila na watz wajasiri kweli, 2015 tutachagua ccm,mark my words! we dont even know what hitted us!
 
Wengi hatukumchagua na bado hatuamini jamaa kashindaje utafiti wangu kila niliyemuuliza baada ya uchaguzi alisema hakumchagua na rais anafahamu hili ndio maana hajali kitu zamu yetu kulipa kwa kutomchagua, kamshikishe Tendwa Bible aape kisha aseme ukweli wake kama tulimchagua au la...
<br />
<br />
Badili modes za utafiti wako maana unaweza kuwa uliwahi kuniuliza hata mimi maana niliwahi kutana na jamaa ana macho makubwa kama mjusi aliyebanwa mlango...nilipomwona waluwalu kwa kuniparamia kwenye counter ya mamba bar kinondoni..nilimjibu kura ni siri yangu na ndo maana utaratibu wa kuipiga ni wa kificho. Pendekeza next time zipigwe kama za bungeni..kuwa..Wangapi wanamtaka JK..tunanyoosha mikono..wangapi wanamtaka Silaha...wananyoosha mikono. Wanaomtaka Silaha wameshinda.
 
Hana lolote huyu ******! Mfumo alioukuta ndio alisimamia uchumi wa nchi ukaimarika na Tsh ikasimama kwa miaka kumi bila kutingishwa dola chini ya Mkapa. Alipoanza kuwaweka mademu zake na kwenye uongozi wa nchi na maswaiba zake kwenye taasisi ndio akajitengenezea mfumo wake na kuiharibu nchi.

anakwazwa na LI MFUMO otherwise ni rais jasiri
<br />
<br />
 
Jibu kamili hafai na aende nahisi kutapika.... Nyerere alishawahikumuambia Mwinyi ''Can't you behave Yourself''

Sasa huyu wa sasa nani atamuambia? na pia asikiii akipewa list ya wahalifu anasahau na kuzipoteza.



''United we can win Against our Enemy''
ccm & jk
 
Karatasi zote za kupigia kura zimeshafutika - yaani ubora wake ulikuwa wa miezi 3 tu. who knows it was 60% anyway? i guess it was 25%.
 
Back
Top Bottom