Mzalendo39
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 882
- 1,029
Nimeamua kufungua page hii special kwa Mbwana sammata ambaye ni Mtanzania pekee na anaeipeperusha
Unaharibu thread wewe fala, simba walimchukuwa wapi?Viva simba, Kwa kuibua kipaji chake! !
Yupo genk kama mtoto yatima, ajiamini huyu dogo. Magoli yake mengi ni kudumbukiza tuu.we nawe ni mtu wa hovyo hovyo
Hahaahaha Mkuu acha izoHuyu dogo tatizo lake hajui kushangilia,
Anawarukia mchezaje mwenzake kama nyani
Mbwana Samatta you are my hero. Mpaka nimeweka Hero wa Enrique
umeweka hero wa Enrique kwenye nini? na hero wa Enrique ni mdudu gani?Mbwana Samatta you are my hero. Mpaka nimeweka Hero wa Enrique
Huyu dogo tatizo lake hajui kushangilia,
Anawarukia mchezaje mwenzake kama nyani
Nenda kamfundishe unafanyanini bongo?Huyu dogo tatizo lake hajui kushangilia,
Anawarukia mchezaje mwenzake kama nyani
Nani amekuambia mimi nipo bongo?Nenda kamfundishe unafanyanini bongo?