Marekani wapo wengi tu hasa State za kusini mwa Marekani kama Louisiana, Alabama, Mississippi, nk Ni kabila fulani wanautamaduni wao. Ukiwaona hasa ambao ni wa bush hasa hata nguo zao huwa hawafui tangu zikiwa mpya hadi zinachakaa. Na wanashona viraka sana. Ila hawatembei nusu uchi kama walioendelea. Jasa wamawale wamakofimola vvema. Wanaogopwa sana na Wamarekani walioendelea kwa vile inaelekea ni washirikia sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.