Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
[h=1]Mmarekani Kichaa auwa raia 15 wa Afghanistan[/h]
11 Machi, 2012 - Saa 14:42 GMT
Mwanajeshi wa Marekani aliyehemkwa, aliuwa raia 15 majumbani mwao, wakiwemo watoto tisa, katika jimbo la Kandahar, Afghanistan, Jumapili alfajiri.
Mwanajeshi huyo anazuwiliwa na inasemekana alipagawa kabla ya mauaji hayo.
Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Leon Panetta, alisema amesikitishwa sana na tukio hilo.
Mauaji hayo yametokea wakati kuna mvutano katika uhusiano baina ya Waafghani na wanajeshi wa Marekani, baada ya Kurani kuchomwa kwenye kambi ya Marekani mwezi uliopita, na kuzusha maandamano ya ghasia sehemu mbali mbali za nchi.
source:BBC
11 Machi, 2012 - Saa 14:42 GMT
Mwanajeshi wa Marekani aliyehemkwa, aliuwa raia 15 majumbani mwao, wakiwemo watoto tisa, katika jimbo la Kandahar, Afghanistan, Jumapili alfajiri.
Mwanajeshi huyo anazuwiliwa na inasemekana alipagawa kabla ya mauaji hayo.
Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Leon Panetta, alisema amesikitishwa sana na tukio hilo.
Mauaji hayo yametokea wakati kuna mvutano katika uhusiano baina ya Waafghani na wanajeshi wa Marekani, baada ya Kurani kuchomwa kwenye kambi ya Marekani mwezi uliopita, na kuzusha maandamano ya ghasia sehemu mbali mbali za nchi.
source:BBC