du! Ingebidi wanchi wenye hasira wachukue sheria mkononi na kumshughulikia mzungu...
Mmarekani huyo; raia toka Donor country-analindwa kama malkia kwenye mzinga wa nyuki! Ndio maana wanakiwa na kiburi cha kufanya ushenzi huu hawa wageni kwani wanajua hawagusiki!
Yule Kaburu wa mradi wa uranium aliyebaka nyanda za juu kusini kwani alifanywa ninoi? Sana sana karudi kwao peacefully tuu bila wasiwasi!
Tamma za viongozi wetu zinatudhalilisha kama nchi kasi kuwa kila mgeni anajua as long as ana hela ya kutosha na kama anatoka katika taifa kubwa=na miungu waodogo!