Fundi hujaja nyumbani miaka kama 20 hivi naona.......au utakuwa Fundi mchundo Malecela....nsema hivyo kw sbabu ulivyoandika vile ni M papua New guinea......
.....mkuu kwa taaarifa yako pale njia panda ya majuu wanaiba mpaka chupi sembuse saa......niliona malalamiko kwa michuzi watu wanaibiwa kila leo pale.....kuna mtu kaibiwa mdoli wa mwanae pale eapoti aibu sana mdoli wenyewe alinunua $2 wakamkomba chupi,peni,kamera na kofia.....huwezi kuamini ire mijitu inafungua mizigo saa ngapi.....hata ukiweka kufuli wanavunja....
ushauri wangu itemeni bongo eaapoti tumieni nairobi kisha chukueni basi mpaka maakwenu.....naa rire ribandari achaneni naro tumieni bandari ya mombasa...si mliona jk alipokwenda pale kacheka cheka naa kusema anawajua wezi kisha kala kona...raisi huyo....
Fundi hujaja nyumbani miaka kama 20 hivi naona.......au utakuwa Fundi mchundo Malecela....nsema hivyo kw sbabu ulivyoandika vile ni M papua New guinea......
.....mkuu kwa taaarifa yako pale njia panda ya majuu wanaiba mpaka chupi sembuse saa......niliona malalamiko kwa michuzi watu wanaibiwa kila leo pale.....kuna mtu kaibiwa mdoli wa mwanae pale eapoti aibu sana mdoli wenyewe alinunua $2 wakamkomba chupi,peni,kamera na kofia.....huwezi kuamini ire mijitu inafungua mizigo saa ngapi.....hata ukiweka kufuli wanavunja....
ushauri wangu itemeni bongo eaapoti tumieni nairobi kisha chukueni basi mpaka maakwenu.....naa rire ribandari achaneni naro tumieni bandari ya mombasa...si mliona jk alipokwenda pale kacheka cheka naa kusema anawajua wezi kisha kala kona...raisi huyo....
Fundi hujaja nyumbani miaka kama 20 hivi naona.......au utakuwa Fundi mchundo Malecela....nsema hivyo kw sbabu ulivyoandika vile ni M papua New guinea......
.....mkuu kwa taaarifa yako pale njia panda ya majuu wanaiba mpaka chupi sembuse saa......niliona malalamiko kwa michuzi watu wanaibiwa kila leo pale.....kuna mtu kaibiwa mdoli wa mwanae pale eapoti aibu sana mdoli wenyewe alinunua $2 wakamkomba chupi,peni,kamera na kofia.....huwezi kuamini ire mijitu inafungua mizigo saa ngapi.....hata ukiweka kufuli wanavunja....
ushauri wangu itemeni bongo eaapoti tumieni nairobi kisha chukueni basi mpaka maakwenu.....naa rire ribandari achaneni naro tumieni bandari ya mombasa...si mliona jk alipokwenda pale kacheka cheka naa kusema anawajua wezi kisha kala kona...raisi huyo....
Kuna urasimu TRA na pia bongo kuna wizi ila sikubaliani na jinsi huyu zinduna anavyotaka kuifanya TZ kama jalala na watu wake ni hovyo. Aache uzushi, amechanganya madawa tu! utaratibu unaeleweka kabisa jinsi ya kufuatilia mzigo uliopotea. inawezekana mzigo ulipotea amsterdam na siyo dar! na hata kama ni dar basi alikuwa nao yeye hivyo kupotea ni uzembe wake!
Wengi mnazungumzia udokozi. Kuibiwa chupi, doli kutoka ndani ya mzigo. Hicho kinatokea. Huyu bwana anazungumzia mzigo (checked luggage) kupotea jumla! Mimi hapo ndipo ninapo tia shaka. Wa kulaumiwa hapo ni airline na si wapakuwa mizigo wenzangu! Au kiingereza kimempiga chenga na ana maanisha aliibiwa laptop iliyokuwa kwenye checked luggage yake? Lakini bado tatizo liko pale pale. Kwani wakina Fundi Mchundo makwapukwapu hawako eapoti za majuu?
Amandla.......
Wadau vita vyetu dhidi ya ufisadi lazima viendelee, hebu someni hii barua hapa chini. Mzungu analia kweli kweli
Subject: FW: RE: MY NIGHTMARE IN TANZANIA
Date: Tue, 4 Aug 2009 15:04:53 -0400
From: Ray Bergen
To: Lisana Koliskowski
Hello Lisa
I am glad to be back in America after such a disastrous trip to Tanzania. The most important thing was getting back home safely and seeing my family. The only thing I can assure you is that, I will never set my foot in that country, and will advice anybody planning to visit Tanzania to refrain from doing so. The nightmare started at the airport, when my luggage checked in from Amsterdam disappeared mysteriously in Dar es Salaam. And my inquiry with the airport authorities was forwarded to the police. At the police station (Central) I was told that I could not get help unless I bribe them $500, because they needed the money for fuel and other necessary needs to investigate the theft. Supposedly the police officer did not open the case and turned me to be the criminal, constantly coming to my Hotel room, asking me for money. In short all my four year work was lost with the laptop at the Airport.
Came clearing the vehicle we were supposed to use in the research, from the agents to the customs authorities, the vehicle exceeded the actual cost. I would have paid $38,000 for a $16,000 vehicle. I could not bear being in such a corrupt country and decided to terminate my research, and left the vehicle uncleared after one month of struggle with the customs, who needed money after money and bogus letters. Supposedly these exuberant fees were not supposed to be there in the first place, because all registered NGO's are supposed to be exempted from paying these taxes and fees, but then the deal had been cooked to rip Muzungu off. Being a Muzungu is being a cash cow in Tanzania. They don't even fucken know that we are trying to help them. I pity the African continent and her people, I am glad they did not confuse me with Albino
Please advise any potential traveler to Tanzania to look for alternative country to visit, and if possible pass the message to the State Department as a warning to other Americans intending to visit this poor and corrupt country. I visited Botswana with my family in 2006. I tell you, could not be more satisfied with their politeness and straightforwardness, the same was in Mozambique where we received utmost hospitality.
Please, be careful and only travel to Tanzania when there is need and not to visit and do not carry any valuable. As soon as you arrive, register with the American Embassy
Sincerely,
Ray Bergen
Huyu ana hasira za kulizwa na changudoa..he he he..
Kama kawaida yetu watanzania,
Tuko tunatafuta mtu wa kumbebesha mzigo. Hivi kwanini watanzania sisi ni apologetics sana? People you break it, you own it.
Tatizo watu WENGI HUMU mnakaa majuu Tanzania watu hamuijui. Baadhi ni watoto wa mafisadi mkija bongo mnaishia Masaki na Obey! Mnakuta gari ya baba STJ....Iko inawasubiri airport..Jamani..kwangu mimi alichokisema huyu aliyeandika hii email..haijalishi ni nani...sioni ajabu kutokea bongo.
Nikupe kisa kimoja: Mimi ni mbongo..niliwahi kuvunjiwa nyumba nikaibiwa kila kitu. Lakini sitasahau nilivyokwenda polisi. It was a NIGHTMARE. Nilifuatilia mwishoni nikasema..haya bana...Na huwezi amini hawa wezi waliniibia kila kitu hata vyeti vya shule! Leo mtu anakuja hapa anaanza kuongea eti email siyo ya Mu-USA..kwa ajili ya kiingereza..man are you real? Kwani kila mu-USA anaandika kiingereza kilichonyooka?
Watanzania tubadilike..Tanzania inahitaji mabadiliko makubwa sana. Na wa kuibadilisha ni sisi. TANZANIA kuna bureacracy ya hali ya juu. WANAOIFAIDI BONGO NI MAFISADI NA FAMILIA YAO.
Tanzania is my country..lakini uzembe, rushwa, unprofessionalism na ufisadi vimezidi! Shame on us Tanzanians! Harafu hapa tunakuwa apologetic baada ya kuangalia hali halisi tusaidiane kudeal na hawa watu...