MLUGO
Nimekuona ukitoa vitisho morogoro kuwa mgomo ni batili lakini nafikiri ujumbe umeupata kuwa wewe na viongozi wa kisiasa si tishio tena dhidi ya walimu kutokana na uongo wenu Walimu tumechoka kudanganywa. wewe fanya yale tunayoyataka,.
Hata hivyo, kumbuka cheo ni dhamana leo upo wewe kesho atakuwa mwingine.
"BE NICE TO THE PEOPLE WHEN YOU GO UP SINCE YOU MAY MEET THEM WHEN YOU COME DOWN."
Nimekuona ukitoa vitisho morogoro kuwa mgomo ni batili lakini nafikiri ujumbe umeupata kuwa wewe na viongozi wa kisiasa si tishio tena dhidi ya walimu kutokana na uongo wenu Walimu tumechoka kudanganywa. wewe fanya yale tunayoyataka,.
Hata hivyo, kumbuka cheo ni dhamana leo upo wewe kesho atakuwa mwingine.
"BE NICE TO THE PEOPLE WHEN YOU GO UP SINCE YOU MAY MEET THEM WHEN YOU COME DOWN."