Kwa hiyo ulipiga sana sumu na Kula baa eeeeh!! Ulikuwa Mandela/Nkurumah Dom au nyerere Dom?mbona mwoga wewe!! stay safe mdogo wangu. kimbunga is no longer in this mjengo. me mmoja wapo ni tunda la pale Kwiro enzi hizo. i miss Mzèe Komando, mama Mwana, fanga etc etc etc
Mkuu umesahau bweni la ujamaa, wewe ni mkongwe mwenzangu, nilisoma pale kipindi Anton Magambo akiwa mkuu wa shule, kulikuwa na vijana watukutu kutoka Tambaza walihamishiwa pale, lakini kwa mkuu yule tulitia akili.Du,, nyie vijana. Mmenikumbusha mbali sana. Enzi zetu kuliwa na AZIMIO, MWENGE, MAPINDUZI, ndiyo mabweni. Sehemu.maarufu ni, KWA SISTA CHOMA, na MBAGULA. Nawenge na Kasita. Zingine. Nimesahau..zama hizo....Mlima Ndororo ilikuwa hatari.