Chipolopolo
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 1,425
- 725
Roho huyo mtaka fujo.Roho huyo mtakavitu. Amekosa sifa ya Roho Mtakatifu.
Nikauliza simu yangu umetoa wapi..
Mlokole kanambia kaipata kwa uwezo wa roho mtakatifu.
Ndio nini hii huyu mtu kutumia jina la bwana mungu kwa mambo yake machafu...
myuzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz
Hujui kama usilitaje jina la bwana mungu wako bure...
first lady, nilikuwa nakuheshimu sana. lakini kwa thread hii, naona kama unashuka kiwango; je? nia yako ni kuwashambulia walokoke au ni nini? unachotaka kutoka kwa wachangiaji nin ini? what is your utmost intention kuleta mada hii? ni kweli kuna mlokole alifanya hivyo au umetunga tu story ili kuwashambulia na kueneza chuki dhidi ya walokole...tafadhali, kama ni kweli sawa, lakini kama si kweli, nakushauri ondoa thread. sisi sote zamani tulikuwa tunawashambulia san awalokole hata kuwa kuwapiga, lakini tumejua ukweli.
ayaaaa umeileta hadi huku :shock::shock::shock::shock:
FirstLady1 cheusimangala juzi kasema tunazidiwa na vibabu . Sasa tufanyeje . Ndio tunaamua kujilipua kilokole. Teh teh teh . Anyway sikati tamaa teh teh :smile-big::smile-big::smile-big::smile-big: . Mbele ya Holy spirit hakuna kurudi nyuma.
Mhhh Egyps-womenjamani hayo mambo machafu ni yepi tena mweeeee . Wadada wa siku hizi toka Azimi o la bejing lipite wakali kweli . RB za kutongoza nasikia zinazaja mashelf Polisi
Jamani kama mnavyojua haya ma long distance ..Ndio nimetoka kumpokea mzee baada kuwa mbali kwa takribani miezi kadhaa,,
Mida ya saa mbili usiku naanda chakula mala simu inaita...naenda kupokea inakatika,
Ikaita tena ..Ile napokea napokelewa na salam ya bwana asifiwe
OOh nikaitikia kwa amani zote amina na wewe bwana asifiwe.
mala simu ikakatika .
mpendwa akaendelea sasa kubeep nikipiga hapokei ndipo nilipoamua kumtumia sms nikimwambia asinibeep.
Husband akasema piga.
Mlokole kapokea na sauti inatoka kila kona ya nyumba inasikika usiku
ooh nimefunga kwa muda wa week 3 nimeonyeshwa wewe ndo mke wangu mke mwema...najua hunijui sijui naitwa A.....
Naomba upokee maombi yangu...
Nikauliza simu yangu umetoa wapi..
Mlokole kanambia kaipata kwa uwezo wa roho mtakatifu.
Nikamwambia lakini mpendwa mbona nimeolewa nina familia tayari huyo roho mtakatifu aliyekuongoza amekosea
Jaribu kufunga tena.
Mlokole akasema ooh ndoa huwa zinavunjika ...
Na yeye yuko tayari kusubiri ndoa yangu ivunjike ili aje kuleta posa..
Ni mtu gani wa kusubiri ndoa ya mwenzie ivunjike eti kaokoka????
Mzee akabakia anaguna tu huku mie nikiendelea kushangaa.
Huyu mlokole mbona ananiletea balaa mwenzenu.:nono:
hahahahaaa!!!
Hii nimeipenda hii........
Bigirita[/FONT] unachezea nguvu za roho mtakavitu?
Pole FirstLady1 (halafu hebu nipe namba ya huyu jamaa nimuunganishe na dada mmoja anatafuta mme, hope tutaweza kumbadili mawzo huyo roho mtakavitu)
hahahahaaa........ RR bana!! kwahiyo huyo dada nae anataka vituz au mume!