Sidhani kuna cha ulokole hapo
ilikuwa gear ya kuingilia akupate na inawezekana amechunguza na kupata no yako kwa watu na then kaamua afanye ujinga wake
Hakuna cha ulokole wala nini
Mpe zake za uso na mwambie tena mbele ya husband wako kuwa huo utoto na ujinga akawaambie wajinga wajinga wenzake
ilikuwa gear ya kuingilia akupate na inawezekana amechunguza na kupata no yako kwa watu na then kaamua afanye ujinga wake
Hakuna cha ulokole wala nini
Mpe zake za uso na mwambie tena mbele ya husband wako kuwa huo utoto na ujinga akawaambie wajinga wajinga wenzake