Mwanangu amepewa barua ya kuhama makazi anayoishi kwa kisingizio yanavunjwa na anatakiwa kuhama si chini ya miezi sita.
Anaishi nyumba za AICC SOWETO ... nini kinaedelea?
AICC hawawezi kujenga makazi na kuhamishia wakazi wake kama ilivyokuwa NHC dar es salaam?
Hawana sehemu za kujenga makazi mapya? Kuna uhalali gana kwa kitendo hili?
Nani yuko nyuma ya zoezi hili?
Anaishi nyumba za AICC SOWETO ... nini kinaedelea?
AICC hawawezi kujenga makazi na kuhamishia wakazi wake kama ilivyokuwa NHC dar es salaam?
Hawana sehemu za kujenga makazi mapya? Kuna uhalali gana kwa kitendo hili?
Nani yuko nyuma ya zoezi hili?