ha haaaaaaaaaaaaaaa. umenikumbusa kitu............. hapa nahisi kila siku kazi ya kutandika kitanda inakuwa yako, maana kama wa kwanza kuamka anatoka na vingine, na wa mwisho kuamka anatandika kitanda................
ewaaaa, hata hivyo huwa cpendi utandikaji wake, so hata akifanya mie lazima nije nirudie, cku kama jmc nikiwa nahitajika job nikimwacha amelala nikirudi mara nyingi nitarudia kutandika.
ha haaaaaaaaaaaaaaa. umenikumbusa kitu............. hapa nahisi kila siku kazi ya kutandika kitanda inakuwa yako, maana kama wa kwanza kuamka anatoka na vingine, na wa mwisho kuamka anatandika kitanda................
kila mtu na fani yake...............
Kweli ila kuna kitu kimoja kinaniudhi sana, nacho watu kutaka kubanana bila sababu. Naturally, kuna mtu anakuwa msafi sana na mwingine anaweza kuwa hajali. Ili maisha yaende vizuri ni bora kumwelewa mwenzio. Imagine huyu mama aliyetajwa hapo juu ni mvimvu wa kazi za ndani. Kuna sababu yoyote ya mume wake kumdhalilisha mbele ya H/girl?
mh... Mama unayatapika kweli ya nyumbani kwako... Unaelimisha wengi!!ewaaaa, hata hivyo huwa cpendi utandikaji wake, so hata akifanya mie lazima nije nirudie, cku kama jmc nikiwa nahitajika job nikimwacha amelala nikirudi mara nyingi nitarudia kutandika.
mh... Mama uanatpika kweli ya nyumbani kwako... Unaelimisha wengi!!
samahani ... ni typo error tu... Ila anajaribu kuonesha jinsi alivoelimika ktk anga ya familia...