Baba Dorcas
Member
- Jan 15, 2012
- 83
- 5
Kila mtu anapata mke kutokana na anga zake! Mi anga zangu mara nying ni za church. Hvo ma wife nmempata madhabahuni, and she z real ril ma true chaguo!
Hahaha wacha weee, mbona mimi namkumbuka mama Ali nilipata wapi....yani kipendo changu nakumbuka mpaa nguo alio vaa na saa ngapi nilimuona na alikuwa wapi...usisikie ukipenda mpaa unapata akili usahau kabisa :biggrin:
do not fight for marriage,this is something to happen automatically be carefully.wewe kweli kilaza flani!!
micharuko kila sehemu, ata hakuna pa kutokea!! sijui mi ndo nna gundu.. au ndo hali ilivyo ila lile neno ambalo lipo kwenye kiapo na linasisitizwa sana 'uvumilivu' linachukua nafasi yake!!
aise wake walishaisha
hapo kwenye kabila mi sijaweka kigezo.. inawezekana imekua too large eeh? embu nipe makabila mazuri basi nipunguze uwanja.. ila shukrani kwa ushauri, nmeupenda na story yako ni nzuri, ila tu usije rudia asili badae ukamletea magonjwa mwana wa watu
Dear!
Kwa nyongeza katika ulochangia ni kwamba mtoa mada inabidi aache tabia zake mbaya.
Ukimu-aproach mwanamke kimzaa mtaishia kwenye mzaa. Ukiwa serious katika kumweleza nia yako naye atakuwa serious tu! Wanawake wana akili sana kuliko sisi wanaume; wanatusoma, wanatujadili - sisi wanaume hatuna mda wa kuwajadili - ndo maana wanatu-handle.
Najibu swali la mtoa mada....
Mlioooa mlipata wapi wake zenu?
Wa kwangu nilimpata siku alipokuja dukani kwa kaka yangu kufanya shoping; nikamjengea ukaribu - hadi akawa rafiki wa familia yetu na mwisho nikamtamkia kuwa nataka kuwa naye maishani - hakusita. Inataka muda kumteka mawazo mtoto wa kike. Vijana wa siku hizi wanakurupuka kuomba tendo la ndoa, wanachokana mapema na kutimuana. Pengine ni malezi mabaya; kwetu sisi tuliolelewa katika mazingira kiroho tunakuwa na woga sana - si kwamba tunawaogopa wanawake; la hasha - tunamwogopa Mungu.
Hivi kuna aina ngapi za wanawake?Halafu kumbe kuna vipezo vya kumpata mwanamke!Inawezekana ndo maana wanawake wanashindwa kuolewa!Watu wanatoa vigezo kama vile anaweka oda ya gari kwenye kiwanda!Wanawake kazi mnayo!
1.muombe mungu kwani ndo muanzilishi wa ndoa.
2.tambua ni mke wa namna gani unamtaka.wanaume wengi wanafanya makosa na kuweka vigezo kama may be awe mrembo,umbo namba 8,mguu wa bia na vingine.kumbe sifa zatakiwa kuwa spiritual,attitude,habits na nyinginezo.
3.open your eyes.coz mungu ni mwaminifu so atamleta huyo mwanamke kwenye anga zako.ni kazi yako kutambua kuwa ndiye au siye.
4.then,date,friendship.courtship na mwisho ndoaaaaa.
nakwambia ndoa zinazodumu na zisizo na migogoro ni hizi.coz mtu alijiandaa kiakili,kimwili na kiroho.reseach zinaonyesha kuwa ndoa za namna hii ndizo zenye furaha na zinadumu.
point to note:wanaume jiandaeni before marriage.msikurupuke.
do not fight for marriage,this is something to happen automatically be carefully.
Wanawake wazuri wa tabia wapo tatizo inategemea msingi unaoujenga. cha kwanza mwombe Mungu akupe mwanamke wa kufanana na wewe baada ya hapo utapata mwongozo wa jinsi ya kumtambua mke wako mtarajiwa
mke mwema hatambuliwi kwa kuwa girlfriend wako kwani wengi huwa wanaishi maisha bandia (artificial life) ili usigundue; ukishawaoa baada ya mda mfupi anabadilika hadi unashangaa na kuanza kusema je ni kweli huyu ndiye niliyemjua na kumuoa au nimepewa Rahel badala ya Rehema.
kumbukeni mke mwema anapatikana kwa Mungu
Kabila ni juu yako kuamua ila nakushauri makabila yenye mila zinazoendana na kabila lako ambalo silijui, kurudia mambo niliyokuwa nafanya kabla ya kumpata mwenza hiyo haitatokea umri mdogo, marafiki, pombe, kutokuwa na majukumu na kutomjua Mungu ndiyo kilichosababisha kutenda maovu hayo.
Ukishamwona ndo utakapojua kuwa ni mke wako halisi. Kuhusu ni wapi, love has no formular!!!!!
micharuko kila sehemu, ata hakuna pa kutokea!! sijui mi ndo nna gundu.. au ndo hali ilivyo ila lile neno ambalo lipo kwenye kiapo na linasisitizwa sana 'uvumilivu' linachukua nafasi yake!!
aise wake walishaisha
GUBE GUBEchakuongezea kingine mke kujua kidogo background yake hii kidogo inasaidia ukikurupuka bila hata kujua chimbuko utaumia nina mifano hai yani kaka angu sasa hivi anajuta na anatamani kuachana na mke wake hataki hata kumuona.