Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,775
- 3,610
mwaka huu nimepanga kuingia kwenye ndoa,je kunafaida zipi?
Kama hujui faida za ndoa basi inaelekea wewe haupo tayari kuingia katika ndoa. Embu nenda kajipange upya halafu urudi tena
mwaka huu nimepanga kuingia kwenye ndoa,je kunafaida zipi?
Ukilazimishwa issue...mwaka huu nimepanga kuingia kwenye ndoa,je kunafaida zipi?
Mwanaume unalazimishwa?. Huna msimamo kama mwanaume jitambue.nimelazimishwa na ndugu zangu lazima mwaka huu nioe nisije nikazeeka bila mtoto
DuhUkilazimishwa issue...
View attachment 661060
Ila ukipendwa utapewa VYOOTTEE..
View attachment 661061