nimelazimishwa na ndugu zangu lazima mwaka huu nioe nisije nikazeeka bila mtotoKwanza wewe kinachokuingiza ni nini?
Faida usisubirie za wenzio, ndoa zao sio yako. Kuwa na malengo pia matarajio binafsi usije ukabaki kulia "mbona fulani alisema, mbona fulani alisema!!"
unajua bwana kin'gamuzi tatizo siyo muda haujafika , nataka nijue umuhimu na faida zakewake kwa wale wenye uzoefu ili niwe hurukama hujajua utapata faida gani katika ndoa bado wakati wako subiri tu muda utafika nakuona mahitaji fulani hayaendi unahitaji ndoa ili yakamilike hakika hizo ndizo zitakazokuwa faida za ndoa yako
nimelazimishwa na ndugu zangu lazima mwaka huu nioe nisije nikazeeka bila mtoto
-At least u wont have to move around with room-keys on hands or in pockets.
-U will have someone to cook and wash yr clothes, including u/pants.
-U will have a reason to go home earlier!
-U will have somebody to shout to you, just like yr mother was!
A man's wife has more power over him than the state has.
tatizo wanataka watoto
Kwani wewe unataka ndoa au mtoto?Na kama unataka mtoto,ndoa sio mtoto ndoa ni mke na mume,hapo kuna mawili kupata mtoto au kukosa,sasa kama nia yako ni mtoto unaweza kumpata hata bila ya ndoa,kazi kwako!!!nimelazimishwa na ndugu zangu lazima mwaka huu nioe nisije nikazeeka bila mtoto