Pamoja na kuwa CCM haikushinda kihalali, lakini ndugu zetu mlioichagua CCM mmesaidia wao kupata njia ya kuchakachua na kuweza kurudi madarakani. Matokeo yake mateso tunayopata sasa na mbaya zaidi dereva wetu hana tena uwezo wa kutufikisha salama, naamini tutafika lakini kwa mateso na uchungu kama tunavyopata sasa. Cha ajabu mateso haya tunapata wote nyie mliochagua CCM na sisi ambao tuliikataa wote Mangana kama wazanaki wanavyosema.
Mimi siwalaumu magamba nawalaumu nyie mlioichagua CCM angalia sasa tuapigika wote, kapelo na Tshirt mlizopewa zinamewasaidia nini. Lakini kwa ujumla wake kutenda kosa sio kosa bali kurudia kosa. Mimi binafsi nimewasamehe na nawapenda kwa dhati kabisa kwa kuwa na jua ni ujinga tuu ulisababisha mkachezewa cheupe chekundu mkaingia kichwa kichwa ikala kwenu mbaya zaidi na kwetu.
Ndugu zangu 2015 tusikubali tena propaganda za magamba na tuonyeshea kuwa ule msemo wao wa kututusi kuwa Watanzania ni wepesi wa kusahau sio kweli, tuwachane kwa kishindo ili wakichakachua ishindikanea kabisa.
Mungu ibariki Tanzania pamoja tutafika.
Mimi siwalaumu magamba nawalaumu nyie mlioichagua CCM angalia sasa tuapigika wote, kapelo na Tshirt mlizopewa zinamewasaidia nini. Lakini kwa ujumla wake kutenda kosa sio kosa bali kurudia kosa. Mimi binafsi nimewasamehe na nawapenda kwa dhati kabisa kwa kuwa na jua ni ujinga tuu ulisababisha mkachezewa cheupe chekundu mkaingia kichwa kichwa ikala kwenu mbaya zaidi na kwetu.
Ndugu zangu 2015 tusikubali tena propaganda za magamba na tuonyeshea kuwa ule msemo wao wa kututusi kuwa Watanzania ni wepesi wa kusahau sio kweli, tuwachane kwa kishindo ili wakichakachua ishindikanea kabisa.
Mungu ibariki Tanzania pamoja tutafika.