Hongereni kwa kuchaguliwa SAUT Malimbe Campus! Karibuni tulijenge jiji la Mungu huo ndio motto wa saut. Pia huku wanasema our culture should be no fee no school
1.chuo kiko malimbe,Nyegezi ni pembezoni mwa jiji lakini ni daladala moja tu from town na nauli ni sh 300. Unapanda basi la Luchelele,malimbe au mzunguko na unashuka chuo.Lakini ni karibu na stand ya mabasi ya mikoani iitwayo Nyegezi.ukitokea hapo nyegezi unapanda daladala hadi nyegezi kona then unachukua nyingine mpk malimbe..unaweza pata taxi pia.
2. Ukitokea Dar utafika Mwanza kuanzia saa 3 usiku so ni vema ujiandae kama una ndugu wakupokee ama uwe na hela ya kutosha kulala lodge.
3. Ukiripoti Utaanzia eneo linaitwa main. Hapo ndio administrative offices nyingi zipo nas registration ya new students hufanyika. Uje tu na pay in slip za ada uliyolipia bank..kumbuka mkataba wako na bodi ya mikopo saut hawaujali sana hasa kwa kuanzia. Mkopo ukija watakurefund ama kusogeza pesa ulolipia to next academic year!
4. Ukibahatika utapangiwa in campus Hostel. Kiukweli in campus hostel ziko chache sana majority ya watu wanakaa off campus. Hizi ziko nyingi na gharama inarange kuanzia laki e na nusu hadi milion 1 na kitu kulingana na uwezo na mahitaji(nyingine ni luxurious kama tourists lodge)
5. Masomo mengi hutake place malimbe,ni mbele kidogo ya hapo main.Japo kuna baadhi ya kozi kama accounts watu wanasomea huko main.Kuna ATM za CRDB na NBC ziko malimbe,na mini branch ya crdb huko malimbe. NMB ni mpk town,na hata NBC japo ipo siyo reliable sana.
5.kingine ni kuwa makini na masomo,sapu zipo ndugu na ukimwi umejaa tele.Kadhalika maumivu ya mioyo.Mabinti wa Saut wanasifika kwa kuwa na mapedeshee town so ukipata mmoja ujue sooner or later we ni wa kuzugia tu.
6. Advantage mojawapo ni kuwa chuo hiki hutoa usafiri kwa wanafunzi wanaofariki chuoni mpk eneo la maziko so usjali ukifa utasafirishwa salama.
7.pia hii ni rumi,ni dola kamili.Huku hakuna migomo wala nn na hawa jamaa wana namna wanaendesha mambo yao tofauti kabisa.you need to be here to know that.
1.chuo kiko malimbe,Nyegezi ni pembezoni mwa jiji lakini ni daladala moja tu from town na nauli ni sh 300. Unapanda basi la Luchelele,malimbe au mzunguko na unashuka chuo.Lakini ni karibu na stand ya mabasi ya mikoani iitwayo Nyegezi.ukitokea hapo nyegezi unapanda daladala hadi nyegezi kona then unachukua nyingine mpk malimbe..unaweza pata taxi pia.
2. Ukitokea Dar utafika Mwanza kuanzia saa 3 usiku so ni vema ujiandae kama una ndugu wakupokee ama uwe na hela ya kutosha kulala lodge.
3. Ukiripoti Utaanzia eneo linaitwa main. Hapo ndio administrative offices nyingi zipo nas registration ya new students hufanyika. Uje tu na pay in slip za ada uliyolipia bank..kumbuka mkataba wako na bodi ya mikopo saut hawaujali sana hasa kwa kuanzia. Mkopo ukija watakurefund ama kusogeza pesa ulolipia to next academic year!
4. Ukibahatika utapangiwa in campus Hostel. Kiukweli in campus hostel ziko chache sana majority ya watu wanakaa off campus. Hizi ziko nyingi na gharama inarange kuanzia laki e na nusu hadi milion 1 na kitu kulingana na uwezo na mahitaji(nyingine ni luxurious kama tourists lodge)
5. Masomo mengi hutake place malimbe,ni mbele kidogo ya hapo main.Japo kuna baadhi ya kozi kama accounts watu wanasomea huko main.Kuna ATM za CRDB na NBC ziko malimbe,na mini branch ya crdb huko malimbe. NMB ni mpk town,na hata NBC japo ipo siyo reliable sana.
5.kingine ni kuwa makini na masomo,sapu zipo ndugu na ukimwi umejaa tele.Kadhalika maumivu ya mioyo.Mabinti wa Saut wanasifika kwa kuwa na mapedeshee town so ukipata mmoja ujue sooner or later we ni wa kuzugia tu.
6. Advantage mojawapo ni kuwa chuo hiki hutoa usafiri kwa wanafunzi wanaofariki chuoni mpk eneo la maziko so usjali ukifa utasafirishwa salama.
7.pia hii ni rumi,ni dola kamili.Huku hakuna migomo wala nn na hawa jamaa wana namna wanaendesha mambo yao tofauti kabisa.you need to be here to know that.