ni degree ambayo ni jamii ya architecture lakini wao wakibobea Zaidi kwenye mipango miji, kuandaa master plan za miji mbalimbali. ramani hizi husaidia sana watu wanapotaka kujenga wajenge kinachotakia, sio eneo ni la hifadhi wewe unajenga kiwanda, pengine eneo ni la soko wewe wajnga nyumba. kuhusu arhitecture utafufndshwa basics kama kudesign nyumba. utatumia muda mwingi studio kuchora sana ikibidi hata kukesha ili kumaliza kazi za walimu. Ni moja ya degree programmes chache wanafanya mafunzo kwa vitendo mara tatu kwa mwaka. Graduates hawa wanajiriwa Zaidi wizara ya ardhi na kidogo wizara ya ujenzi wakitoa building permits ambayo ni ruhusa ya kujenga, wakiandaa masters plan ya miji hasa mikoa mipya, swala zima la bomoabomoaMkuu msaada course ya bachelor of science in urban and regional planning
kwa cds kupata ni ngumu, labda upate kwa kkigezo cha umaskini au kukosa mzazi au wazaziGuyz hivi Community and development studies nitapata mkopo kweli
thanksni degree ambayo ni jamii ya architecture lakini wao wakibobea Zaidi kwenye mipango miji, kuandaa master plan za miji mbalimbali. ramani hizi husaidia sana watu wanapotaka kujenga wajenge kinachotakia, sio eneo ni la hifadhi wewe unajenga kiwanda, pengine eneo ni la soko wewe wajnga nyumba. kuhusu arhitecture utafufndshwa basics kama kudesign nyumba. utatumia muda mwingi studio kuchora sana ikibidi hata kukesha ili kumaliza kazi za walimu. Ni moja ya degree programmes chache wanafanya mafunzo kwa vitendo mara tatu kwa mwaka. Graduates hawa wanajiriwa Zaidi wizara ya ardhi na kidogo wizara ya ujenzi wakitoa building permits ambayo ni ruhusa ya kujenga, wakiandaa masters plan ya miji hasa mikoa mipya, swala zima la bomoabomoa
Umekunywa chai tayari?? mana unaonekana una njaa afu unalia kinomaMkimaliza hakuna AJIRA mtatembea Na Vyeti mikoa yote
unafikir watu wa ardhi wanafanya interview uwanja wa taifa kama weweMkimaliza hakuna AJIRA mtatembea Na Vyeti mikoa yote
kama umechaguliwa ardhi nitumie jina lako inbox nikuangalizieVP kuhusu hoster zao
Mkimaliza hakuna AJIRA mtatembea Na Vyeti mikoa yote
Bro umedisco nini mbona unaongea kwa uchungu hivyo? unaropoka ropoka hovyo tuWaambie hao...yaan kwa sasa course zote za ardhi...cbe...TIA....IFM....Mipango dodoma hazina ajira ..kama unasoma hapo acha chuo kafanye mishe mingne
Mkuuu naomba namba yako tutete jambokama umechaguliwa ardhi nitumie jina lako inbox nikuangalizie
Mkimaliza hakuna AJIRA mtatembea Na Vyeti mikoa yote
husifananish ardhi na mambo ya kijingabora umewaambia ukweli, wakati nafika ardhi BE kila mtu anasifia kozi nzurii somaa na mbwembwe kibao nikapata BICHWAA, liza baada ya kumaliza shule vyeti hata 500 haikup kwa mwezi naumepanga jiji hili
husifananish ardhi na mambo ya kijinga
sema nikupe address ya ofisi zangu nikufanyie kazi kijna wa open universityKama bado mwanafunzi endelea kusoma ukimaliza utayakuta mbele
Wacha kutisha watu wewe!Mkimaliza hakuna AJIRA mtatembea Na Vyeti mikoa yote