Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
Unaweza hisi hii nchi ni zaidi ya jehanum jamani basi tu tunapata kauwezo cha kununua ugali na mkate jamani
mkurugenzi wa wa tbs amekoswa koswa kuchapwa ngumi na mbunge mmoja kwenye kamati ya bunge pale
alipokiri kuwadanganya wabunge alioenda nao huko hongkong na korea na kusema akukuwa na ofiisi za tbs ila alizowaonyesha alizipata gafla kwa ajili ya safari za wabunge
mbunge huyo machachari amesema huyu mzee hana adabu kabisa ni m shenzi kabisa mkurugenzi gani anatuchukua hapa mpaka nje tunapanda first class alafu mwisho wa siku anasema ati tumsamehe yaishie huku kwa kuwa tbs awakuwa na ofisi ni mtu alikuwa na oisi yake mkononi watu wanampeelekea hela wanasepa
mkurugenzi huyo ambae inasemekana alipojua wabunge wanakwenda nje kukagua alimjulisha rafiki yake mmoja ambae alitafuta uchochoro wa ofisi ambapo walipofika awakumkuta hata mfanyakazi wala mafaili zaidi ya kukuta imefungwa...inasemekana alipopigiwa mhusika wao waliomweka mkurugenzi alidai jamaa apatikani hayo hayo yakaendelea hongkond na korea na ilibidi waairishe kurudi baada ya kuona nchi zaidi ya tatu wamedanganywa hata hizo tulizoambiwa twende azina haja tena alisema mbunge huto
ndugu zangu watanzania huyu baba alidiriki ksuema kila gari lazima liwe limelipiwa tbs na hii ni kutokana na hili aliskiri kusema wana ofisi uk..usa na sasa wameanza kukodi ofisi nchi za asia ...hakika huyu ni zaidi ya muuwaji lakini kwakkuwa anakula na wizara hjusika na hata katibu wa wizara husika alidiriki kutaka kumtetea akatukanwa na mbunge mmoja ndipo alipoamua kukaa kimyaaa
hii ni aibu ya ajabu na shame ya serikali na je nimejiuliza huyu kama anaweza kudiriki kudanganya wana ofisi nje na watu wanalipa kwa nini mliolipa msichukue nafasi hii kwenda tbs kuchukua hela zenu..hakuna ushahidi hata kidogo wa hela zilizolipwa kuja dar tbs office na hili mbunge amesema ameshindwa kuamini kwa nini katibu wa wizara husika anamtetea mpaka sa sa
mkurugenzi wa wa tbs amekoswa koswa kuchapwa ngumi na mbunge mmoja kwenye kamati ya bunge pale
alipokiri kuwadanganya wabunge alioenda nao huko hongkong na korea na kusema akukuwa na ofiisi za tbs ila alizowaonyesha alizipata gafla kwa ajili ya safari za wabunge
mbunge huyo machachari amesema huyu mzee hana adabu kabisa ni m shenzi kabisa mkurugenzi gani anatuchukua hapa mpaka nje tunapanda first class alafu mwisho wa siku anasema ati tumsamehe yaishie huku kwa kuwa tbs awakuwa na ofisi ni mtu alikuwa na oisi yake mkononi watu wanampeelekea hela wanasepa
mkurugenzi huyo ambae inasemekana alipojua wabunge wanakwenda nje kukagua alimjulisha rafiki yake mmoja ambae alitafuta uchochoro wa ofisi ambapo walipofika awakumkuta hata mfanyakazi wala mafaili zaidi ya kukuta imefungwa...inasemekana alipopigiwa mhusika wao waliomweka mkurugenzi alidai jamaa apatikani hayo hayo yakaendelea hongkond na korea na ilibidi waairishe kurudi baada ya kuona nchi zaidi ya tatu wamedanganywa hata hizo tulizoambiwa twende azina haja tena alisema mbunge huto
ndugu zangu watanzania huyu baba alidiriki ksuema kila gari lazima liwe limelipiwa tbs na hii ni kutokana na hili aliskiri kusema wana ofisi uk..usa na sasa wameanza kukodi ofisi nchi za asia ...hakika huyu ni zaidi ya muuwaji lakini kwakkuwa anakula na wizara hjusika na hata katibu wa wizara husika alidiriki kutaka kumtetea akatukanwa na mbunge mmoja ndipo alipoamua kukaa kimyaaa
hii ni aibu ya ajabu na shame ya serikali na je nimejiuliza huyu kama anaweza kudiriki kudanganya wana ofisi nje na watu wanalipa kwa nini mliolipa msichukue nafasi hii kwenda tbs kuchukua hela zenu..hakuna ushahidi hata kidogo wa hela zilizolipwa kuja dar tbs office na hili mbunge amesema ameshindwa kuamini kwa nini katibu wa wizara husika anamtetea mpaka sa sa