kama unaona wachimba madini inafit hapo, chukulia poa. Ukiona haifit jua ni typing error
uongo huo, mbona mlikuwa mnagombana na shule nyingine kisa wasichana wa Loleza?
Tuko pamoja, nawapenda hata wale wa Kalobe
Jamani mnazikumbuka enzi zile za miaka ya 90, Umiseta ndio ilikuwa sehemu ya kupatia wachimba, hasa sisi watoto wa geti kali pale Loleza.
Iyunga zao ilikuwa ni fujo tu, kutongoza walikuwa hawawezi.
Umenikumbusha enzi!Msalato usitusahu wavulana wa Mazengo UMISETA NA EASTER conference wk nzima full kusali mpaka usiku
Jamani mnazikumbuka enzi zile za miaka ya 90, Umiseta ndio ilikuwa sehemu ya kupatia wachimba, hasa sisi watoto wa geti kali pale Loleza.
Iyunga zao ilikuwa ni fujo tu, kutongoza walikuwa hawawezi.
chakula ya watu wa mjini hiyo, watoto hao wote hutolewa bikra na vijana na wafanyakazi wa mjini mbeya, sawa na jangwani ya dsm.Jamani mnazikumbuka enzi zile za miaka ya 90, Umiseta ndio ilikuwa sehemu ya kupatia wachimba, hasa sisi watoto wa geti kali pale Loleza.
Iyunga zao ilikuwa ni fujo tu, kutongoza walikuwa hawawezi.
Coz walichoka kupiga nyetoHehhehe kuvaa blue na njano kwa sanaaa
halafu wa kaka wa mzumbe mhh walikuwa wanatutembelea kwa saaanaaa
Mkuu nilisoma shule zote hizo. Nilikuwa nahama shule hata mara nne kwa mwaka. Hapa umeisahau kipoke. Tena umenikumbusha sana ulivyoitaja kafule kule kwa wandali nako nilisoma. Shule zote hizo nimezimaliza.Mbona sisi wa Kafule, Inyala, Choimala, Ivumwe, Itende, Lutengano, Manow, Mbeya Day, Kipata na kwingine mnatutenga?