So sad, hapo kitu cha kushukuru Mungu labda hakuna mtoto aliyezaliwa na maambukizi! Maana watoto wananiuma zaidi ya wazazi.
Ni topic ngumu sana hii, kuchagua kuaminiana au kufiatiliana.
Heri niwe peke yangu,
Heri niwe na mmoja,
Heri kubadili tabia,
Ukimwi watisha!
Asante kwa kutukumbusha!
Du!. Ngoja nianze kutulia na mamsap
Habari zenu wana jamii,
Leo nina ushauri kwa wale walioko kwenye ndoa, na nimeona niwape ushauri huu kufuatia yalompata dada yangu.
Dada yangu aliolewa miaka ya 1990 na baba mmoja ambae by that time alikuwa mfanyakazi ktk shirika moja la uma. Alifukuzwa kazi, na sifahamu sababu ya yeye kufukuzwa kazi miaka ya 2000. Toka hapo sister kwa upendo aliishi na shemeji na hakuwahi kumsimanga kwa kutokuwa na kazi na mahitaji yake yote yalitimizwa na sister.
Sister alikuwa mfanyakazi wa benk na kwa kweli kifedha alijiweza. Alimwamini sana mumewe na maisha yao yalikuwa ya upendo na amani. they had 4 kids. Wakati dada akimwamini sana mumuwe, kumbe mumewe alikuwa akifahamika mtaani kwa jina la POPOBAWA! Alikuwa MALAYA wa kupindukia! All those days ni kama sister alikuwa kafungwa akili kwani hata siku moja hakuwahi dhani kuwa the famous popobawa pale mtaani alikuwa ni mumewe. Alikuja kupoteza imani na mumuwe baada ya kumkuta usiku akufanya ngono na house girl wao jikoni.
Hofu ya kupata maambukizi ya Ukimwi ilitawala maisha yake, na hakuchukua muda aliugua na kufariki kwa VVU.
USHAURI: Kuna slogan moja ya wanajeshi, inasema TRUST NOTHING SUSPECT EVERYTHING! Pamoja na kuwa mnaaminiana sana na waume/wake zenu lakini jaribuni kuwa makini sana katika huu uaminifu kwani wanandoa wengi wamekuwa wakitumia neno kuaminiana vibaya! Mume hataki mke aguse simu yake, na ikitokea hivyo basi atalalamika mke wangu huniamini na wakati huo huo ana vimada zaidi ya kumi na anataka aaminike kwa mkewe.
Ni mtazamo wangu tu Mahunguchila.
Mi bado siamini kuwa maambukizi makubwa ni kwa wanando; ni kwa kila mwasherati.
Niliangalia documentary moja inasema wanaochukua dawa za ARV asilimia kubwa ni wanawake; ila si kuwa wanawake ndio wameathirika zaidi; ila wanaume wanaona aibu kupanga foleni ma hospitalini kuchukua dawa; leave alone kupima. Wengi wanatumia vipimo vya wake zao wakiwa wana attend clinic kujigamba kuwa wazima
Mtandao wa ngono ni mkubwa kuliko tunavyodhani na normally unapostukia game wewe unakuwa wa mwisho maana wengineo wote wanaokuzunguka wanakuwa tayari wameshanyaka issue.....
Habari zenu wana jamii,
Leo nina ushauri kwa wale walioko kwenye ndoa, na nimeona niwape ushauri huu kufuatia yalompata dada yangu.
Dada yangu aliolewa miaka ya 1990 na baba mmoja ambae by that time alikuwa mfanyakazi ktk shirika moja la uma. Alifukuzwa kazi, na sifahamu sababu ya yeye kufukuzwa kazi miaka ya 2000. Toka hapo sister kwa upendo aliishi na shemeji na hakuwahi kumsimanga kwa kutokuwa na kazi na mahitaji yake yote yalitimizwa na sister.
Sister alikuwa mfanyakazi wa benk na kwa kweli kifedha alijiweza. Alimwamini sana mumewe na maisha yao yalikuwa ya upendo na amani. they had 4 kids. Wakati dada akimwamini sana mumuwe, kumbe mumewe alikuwa akifahamika mtaani kwa jina la POPOBAWA! Alikuwa MALAYA wa kupindukia! All those days ni kama sister alikuwa kafungwa akili kwani hata siku moja hakuwahi dhani kuwa the famous popobawa pale mtaani alikuwa ni mumewe. Alikuja kupoteza imani na mumuwe baada ya kumkuta usiku akufanya ngono na house girl wao jikoni.
Hofu ya kupata maambukizi ya Ukimwi ilitawala maisha yake, na hakuchukua muda aliugua na kufariki kwa VVU.
USHAURI: Kuna slogan moja ya wanajeshi, inasema TRUST NOTHING SUSPECT EVERYTHING! Pamoja na kuwa mnaaminiana sana na waume/wake zenu lakini jaribuni kuwa makini sana katika huu uaminifu kwani wanandoa wengi wamekuwa wakitumia neno kuaminiana vibaya! Mume hataki mke aguse simu yake, na ikitokea hivyo basi atalalamika mke wangu huniamini na wakati huo huo ana vimada zaidi ya kumi na anataka aaminike kwa mkewe.
Ni mtazamo wangu tu Mahunguchila.
RIP,shetani ndiye anayetutesa jamani,tumgeukie Mungu,hana huruma hata kidogo anafurahia sana anapokuona umeshaumia kwa kitu amabacho ulikuwa unafikiria kuwa una faidi.