Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,066
- 4,085
*Ofisi ya Mwanasheria wa PPF na Mkurugenzi zavunjwa
*Nyaraka za siri zadaiwa kuibwa
Baadhi ya wafanyakazi wa jengo la PPF lililopo barabara ya Morogoro na Samora wakiwa nje ya jengo hilo leo asubuhi baada ya mmoja wa walinzi wa jengo hilo kunyongwa na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia leo.
*Nyaraka za siri zadaiwa kuibwa
Baadhi ya wafanyakazi wa jengo la PPF lililopo barabara ya Morogoro na Samora wakiwa nje ya jengo hilo leo asubuhi baada ya mmoja wa walinzi wa jengo hilo kunyongwa na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia leo.