samirnasri
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 1,388
- 213
Mimi ni mtazamaji mzuri sana wa taarifa za habari za mlimani tv (elimu kwanza) lakini nasikitishwa sana na tabia ya kituo hicho cha televisheni kutokuwa na utaratibu wa kuweka majina ya wazungumzaji. Naomba MLIMANI TV wawe na utaratibu wa kuweka majina ya wazungumzaji wakati wa taarifa zao za habari kama vinavyofanya vituo vingine vya television ili watazamaji wa taarifa ya habari tuwafahamu watu tunaowaona wakizungumza wakati wa habari. NAWASILISHA.