Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
<br />Hehe acheni wajidai jamani.Matatizo ya bongo yanahitaji delusions for relaxation.Fika sasa samaki samaki pale nje!!Hehe kuna mzungu mmarekani mmoja alimuuliza demu sincerly kabisa kua it seems the girl has travelled a lot coz he culdnt figure where she got her accent(sp) but it seemed to b a mixture of many. Demu hakujua kama kasifiwa au katusiwa. PADON!Nilikua na bia mdomoni ikamwagika. lol.
<br />Bloomingdales, Nordstrom, Nieman Marcus, Dillards, Saks Fifth Avenue, Lord & Taylor, Brooks Brothers, Coach, Talbots, Starbucks, Aeropostale, Tory Burch, Filene's Basement, Stuart Weitzman, DKNY, Cartier, etc. etc.
Hehe acheni wajidai jamani.Matatizo ya bongo yanahitaji delusions for relaxation.Fika sasa samaki samaki pale nje!!Hehe kuna mzungu mmarekani mmoja alimuuliza demu sincerly kabisa kua it seems the girl has travelled a lot coz he culdnt figure where she got her accent(sp) but it seemed to b a mixture of many. Demu hakujua kama kasifiwa au katusiwa. PADON!Nilikua na bia mdomoni ikamwagika. lol.
Duh! hebu tufafanulie mkuu, sehemu gani Ulaya inafanana ma m.city?Mie huwa nikikumbuka ulaya naenda mlimani city kwa kuwa ndo sehemu inayofanana na ulaya kwa bongo!
na Macdonald ,au yale maduka makubwa ya nguo! ARMANI ,ARROW,
Huu mjengo pembeni ya Sam Nujoma Road unambwembwe zake ukiingia mle ndani watu wanabehave kama vile si watz, kama vile hii nchi haina matatizo (umeme) watu wanaspeak kwa Swaga balaa..mara "you know" or "actually" nasema haya coz nilizungumza watu tofauti mle ndani nkasema may be huku siko tz nnayoijua,watu wako class ,happy ,watanashati ,health ! mazingira hayo yakapelekea nione kama Nawatch aina fulani ya movie!
Raha jipe mwenyewe!!Huu mjengo pembeni ya Sam Nujoma Road unambwembwe zake ukiingia mle ndani watu wanabehave kama vile si watz, kama vile hii nchi haina matatizo (umeme) watu wanaspeak kwa Swaga balaa..mara "you know" or "actually" nasema haya coz nilizungumza watu tofauti mle ndani nkasema may be huku siko tz nnayoijua,watu wako class ,happy ,watanashati ,health ! mazingira hayo yakapelekea nione kama Nawatch aina fulani ya movie!
<br />...sio mlimani city tu, hata kwenye hii mada naona wazee wa swaga nao wamo.......wameanza kutaja ma-place makubwa ya nje........
nasikia wanafunzi wa chuo kikuu cha dsm main cumpus eti ile ndo sehem yao ya kuuzia sura.wanaingia/wanatoka full kuranda randa.lolHuu mjengo pembeni ya Sam Nujoma Road unambwembwe zake ukiingia mle ndani watu wanabehave kama vile si watz, kama vile hii nchi haina matatizo (umeme) watu wanaspeak kwa Swaga balaa..mara "you know" or "actually" nasema haya coz nilizungumza watu tofauti mle ndani nkasema may be huku siko tz nnayoijua,watu wako class ,happy ,watanashati ,health ! mazingira hayo yakapelekea nione kama Nawatch aina fulani ya movie!
Yaani nilivyo na hamu Walmart ishushwe bongo!! Maana I will do some decnt shopping hasa vitu vinavyoweza kushushwa bei hata unapata vitu vvisivyo feki walau i would be happy with a walmart. But if they can throw in Kohls, JCpenny, Macys, payless and the normal stores kwa masikini kama mimi kwa kweli nitafurahi.Sijui itakuwaje walmart ikishushwa bongo!
<Bloomingdales, Nordstrom, Nieman Marcus, Dillards, Saks Fifth Avenue, Lord & Taylor, Brooks Brothers, Coach, Talbots, Starbucks, Aeropostale, Tory Burch, Filene's Basement, Stuart Weitzman, DKNY, Cartier, etc. etc.
nyani ngabu it seems unai2mia google effectively.i have no doubt kwamba kabla huja2pia vtu vyako ktk hii thread ulikuwa busy na google kusearch vtu vya ku2tisha navyo ili nawe uonekane umo.nimeipenda sana hii.lol
nyani ngabu it seems unai2mia google effectively.i have no doubt kwamba kabla huja2pia vtu vyako ktk hii thread ulikuwa busy na google kusearch vtu vya ku2tisha navyo ili nawe uonekane umo.nimeipenda sana hii.lol
kumbe na wewe ndo walewale.vp huko mbagara hawajambo lakin?.lolMtu kujua hizo labels si lazima awe nazo yeye mwenyewe. Kwa mtu anayeishi kiwanja kama Nyani Ngabu vyote hivyo ni vitu vya kawaida sana. Ukienda kwenye malls lazima tu utaviona. Sasa unless wewe kichwa chako kiwe kibovu kupitiliza la sivyo si jambo la kushangaza kukumbuka majina yake. Mbele ni mambo ya kawaida sana hayo. Sasa kwa wengine mnaona ajabu kwa sababu hamna exposure ya vitu kama hivyo. Mkiona mtu kavitaka basi mnakimbilia kusema kagoogle.
kumbe na wewe ndo walewale.vp huko mbagara hawajambo lakin?.lol