Mlima Kilimanjaro washindwa kwenye fainali za New 7 Wonders of Nature

shindano lilianza tangu 2009, iweje wao watujulishe 2011 tena mwezi mmoja kabla ya deadline. Washenzi kabisa, na bado. Walitaka huo uwe mtaji wao wa kisiasa 2011

mchakato ulianza mwaka 2009 hakuna aliyejua mlima wetu utapita kati ya majina mengi yaliyotajwa kushindanishwa hadi karibuni ulipotajwa kufika fainali na kutakiwa kupigiwa kura. tusingeambiwa kupiga kura wakati hatua haijafika na hakuna aliyejua utachaguliwa
 
Afadhali wakuu! Nilikuwa naomba mungu usiku na mchana mlima huu usiingie kwenye hayo maajabu. Hapa Chama cha Ma-Used kingepata agenda ya kuzuga waTz. Hata hivyo hizo pesa zinazo endelea kupatika kutoka kwa watalii kupitia mlima huo hatuja ona manufaa yake.

Sana sana ni Vasco Da Gama na washkaji zake kuranda randa dunia nzima na kuonyesha ubitoz wake usio kuwa na tija kwa waTz. Nasema afadhali haukuingizwa kwenye hayo maajabu ya dunia. Kama ni barafu hata majokofu nyumbani si yana tengeneza? Cha ajabu nini?

unasimamia maslahi ya taifa au maslahi ya chadema
 
Yes Yes Yeees! Magamba wangejiongezea kipato ktk utalii na kujijengea mahekalu wakati sie njaa kali. Bora kimenuka!
 
Mi si nilistuka! Eti nasikia sauti inaongea nikipigia mtu simu. Kumbe Mizengo Pinda bwana, nikashangaa huyu mzee kwanini asihamasishe wananchi wapige kura ya maoni kuhusu uwezo wa serikali? Tena si awasaidie Voda, tigo, airtel n.k kutangaza biashara zao wawe wanamlipa sio tupigie kura mlima halafu wao wale hela za mapato yatokanayo na watalii. 2mbafu
 
Wanajamii nimevunjika moyo Hatukuweza kuufanya Mlima Kilimanjaro ushinde kwenye maajabu Mapya ya asili ya Dunia. Akitangaza sehemu zilizoshida mwanzilishi wa Maajabu hayo Bernard Weber huko Zurich Swizerland aliyataja: kiimpangilio wa CONSONAT(ALPHABET)
Amazon,
Halong Bay,
Iguazu Falls,
Jeju Island,
Komodo,
Puerto Princesa Underground River,
Table Mountain
.


Mkuu huko hakukuwa na NEC wala Makame yamewatokea puani walidhani huko nako watachakachua
 
Wanajamii nimevunjika moyo Hatukuweza kuufanya Mlima Kilimanjaro ushinde kwenye maajabu Mapya ya asili ya Dunia. Akitangaza sehemu zilizoshida mwanzilishi wa Maajabu hayo Bernard Weber huko Zurich Swizerland aliyataja: kiimpangilio wa CONSONAT(ALPHABET)
Amazon,
Halong Bay,
Iguazu Falls,
Jeju Island,
Komodo,
Puerto Princesa Underground River,
Table Mountain
.

Tatizo lenu mlianza kurusha ngumi wakati ugomvi umekwisha!
Wakati wengine wakipiga kura tangu 2009, Tanzania ilikuwa
imelala usingizi wa pono, wanakuja kukurupuka dakika za mwisho!
Hebu fikiria kama mlima Kilimanjaro ungekuwa Kenya hiyo promo yake
ingekuwaje? nadhani ungeshika nafasi ya kwanza kwa kuwa jamaa
wanajua kutangaza vivutio tofauti na sisi ambao kila kitu tunachukulia
siasa tu. Afadhali tumeshindwa ili tujifunze kuwa serious...
 
Wana-deserve,so nice tourist destinationz kwakweli,mlima kilimanjaro haufikii hata chembe
Kwani kuna nini cha ajabu mlima kilimanjaro uwe wa ajabu? angalia hizi picha za walioshinda utajua kwa nini wameshinda

Jeju island
images
images
images



Iguazu falls

images


Halong bay

images
 
Niliapa kama ungeshinda mlima huu mimi ningekunywa sumu......na hii ni salamu kwa viongozi wetu watu tumeanza kupoteza uzalendo kwasababu wanatuchosha sana....Labda wangechakachua kwenye kura kama walivyozoea........
 
Ctaskitika,koz utalii hauna tija kwa mtanzania!anaebisha abishe,aloskitika nadhan ni maige,membe,jeikei,mkewe,pinda,na bod ya UTALII
Wanajamii nimevunjika moyo Hatukuweza kuufanya Mlima Kilimanjaro ushinde kwenye maajabu Mapya ya asili ya Dunia. Akitangaza sehemu zilizoshida mwanzilishi wa Maajabu hayo Bernard Weber huko Zurich Swizerland aliyataja: kiimpangilio wa CONSONAT(ALPHABET)
Amazon,
Halong Bay,
Iguazu Falls,
Jeju Island,
Komodo,
Puerto Princesa Underground River,
Table Mountain
.
 
Sidhani kama ni suala la mhimu sana kushinda kwani kama bado tunauza twiga hata kama tungeshinda isingeongeza lolote la maana. Bado tuna raslimali nyiiingi sana lakini tumezitumiaje?
 
Mi si nilistuka! Eti nasikia sauti inaongea nikipigia mtu simu. Kumbe Mizengo Pinda bwana, nikashangaa huyu mzee kwanini asihamasishe wananchi wapige kura ya maoni kuhusu uwezo wa serikali? Tena si awasaidie Voda, tigo, airtel n.k kutangaza biashara zao wawe wanamlipa sio tupigie kura mlima halafu wao wale hela za mapato yatokanayo na watalii. 2mbafu
baada ya kusoma michango hapa JF kuhusu hii TOPIC nimegundua ikitokea VITA na kutatakiwa kujitolea wengi tutaelekea Bar kunywa bia kama vile TANZANIA haituhusu.
mimi sikupiga kura manake sikutaka kutunisha mifuko ya mafisadi
 
wakubali wakatae kilimanjaro ni ajabu la dunia hata kama limeshindwa kwenye mashindano yao
 
Back
Top Bottom