Mlima Kilimanjaro - Umetapakaa Vinyesi vya Watalii na Poters

SEAL Team 6

JF-Expert Member
Jun 10, 2011
655
118
Bunge limeelezwa kwamba, ni jambo la kushangaza sana kuona mlima Kilimanjaro umetapakaa vinyesi vya wazungu na wale wapambe wao ( pouters). Akichangia katika hotuma ya Wizara ya MALIASILI na UTALII mheshimiwa Mbowe aliweka hilo hadharani, kwamba TANAPA licha ya kukusanya $40 Milion lakini wameshindwa kujenga vyoo kwa ajili ya watalii wanaopanda Mlima huo. Ameshangaa sana kwamba hizo hela huwa zinakwenda wapi? Hii imesababisha Watanzania wanaoishi kuuzunguka milima Kilimanjaro wanatumia maji yaliyo changanyikana na vinyesi vya wazungu. Ameahidi kumpatia mheshimiwa Waziri MAIGE ushahidi ili ajionee mwenyewe tani na tani za vinyesi zinavyochafua mazingira ya mlima huo.
Tujiulize ni viongozi wangapi wa Serikali yetu walishapanda mlima huo, inawezekana kabisa miongoni mwa tani hizo zimo za viongozi hao.
 
Bunge limeelezwa kwamba, ni jambo la kushangaza sana kuona mlima Kilimanjaro umetapakaa vinyesi vya wazungu na wale wapambe wao ( pouters). Akichangia katika hotuma ya Wizara ya MALIASILI na UTALII mheshimiwa Mbowe aliweka hilo hadharani, kwamba TANAPA licha ya kukusanya $40 Milion lakini wameshindwa kujenga vyoo kwa ajili ya watalii wanaopanda Mlima huo. Ameshangaa sana kwamba hizo hela huwa zinakwenda wapi? Hii imesababisha Watanzania wanaoishi kuuzunguka milima Kilimanjaro wanatumia maji yaliyo changanyikana na vinyesi vya wazungu. Ameahidi kumpatia mheshimiwa Waziri MAIGE ushahidi ili ajionee mwenyewe tani na tani za vinyesi zinavyochafua mazingira ya mlima huo.
Tujiulize ni viongozi wangapi wa Serikali yetu walishapanda mlima huo, inawezekana kabisa miongoni mwa tani hizo zimo za viongozi hao.

.... yeps, tani za vinyesi vya wazungu na viongozi zimetapakaa pia nchi nzima kila wanapokwenda kukwapua rasilimali zetu kwa kusaidiana na viongozi waliomadarakani. Laiti wengeishia kwenye mashimo wanayotuachia, walegee na washindwe kujinasua, wabaki humo humo kwenye mishimo yao na vinyesi vyao
 
.... yeps, tani za vinyesi vya wazungu na viongozi zimetapakaa pia nchi nzima kila wanapokwenda kukwapua rasilimali zetu kwa kusaidiana na viongozi waliomadarakani. Laiti wengeishia kwenye mashimo wanayotuachia, walegee na washindwe kujinasua, wabaki humo humo kwenye mishimo yao na vinyesi vyao

I'm just passing, ila nimecheka sana, watu mnauchungu maskini bt hakuna hata anaewasikiliza duh!
 
Mpaka vinyesi vya wazungu vikutwe mlango wa ikulu ndio watashtuka!
 
Back
Top Bottom