Profesa
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 905
- 624
Nimeipenda sana hii, na najiuliza sisi wa-Afrika tunafanya nini? Hatuwezi hili? maana hiki huyu mtoto anachokionyesha hapa ni kipimo cha chakula ambacho wengi wa familia za Tanzania hazikipati ingawa ni very simple, achilia mbali kuwa yeye ana umri mdogo kuiliko profesa mwenzangu ambaye hata email inamsumbua kusoma sembuse face book na tweeter bofya hapa uone mambo ya menu kwa shule za msingi za wenzetu: NeverSeconds