AMINATA 9
JF-Expert Member
- Aug 6, 2011
- 2,120
- 641
ninawasiwasi na wewe unaweza kua mke mwenzakwani wanaoenda ktk kampeni lazima awe mtu mzima mbona mimi naendaga na marafiki zangu na wala sijafikisha 23...........wakati nasoma shule moja ya msingi alikuja mtu wa ccm karibu na uwanja wa shule yetu basi siku iyo yote hatukusoma tuliambiwa tuende hapo uwanjani ivo kwa uwezo wangu wa kufikiri AMINATA 9 hajafikisha hata 25 kama uongo abishe nimpe sababu
pili huyo mtu itakua si chama tawala na sio lazima awe wale walioshinda itakua anaweza kua hata wale waliopendekezwa tu(mana vyama upinzani kuna vijana wengi) ila tawala ni vibabu vingi mnooooo
samahani kama nimechambua sana ila nina uhakika ww ni msichana mdogo bado YANI HUJAFIKISHA 25..........na ilo huwezi kubisha
si bure mineno yote hiyo kukutoka
sasa u better back off