siku ya kwanza tulipokutana, nikapiga kabisa, halafu ndo tukaanza kunegotiate urafiki wetu uweje
mpaka sasa tuna mtoto1, na tumekuwa pamoja huu mwaka wa 7 sasa
hatujaoana lakini tunafahamiana mpaka home kwa kila side
Mkuu kumbe na wewe huwa unalia?
Aaaah...sijampa bado,nafanya tutorial ya Version mpya ya Kama sutra..[/QUOTE]
Mlianza kufanya mapenzi siku ngapi baada ya kuwa wapenzi?
Siku
Wiki
Mwezi
Mwaka