Ernest Ndauka
New Member
- Oct 13, 2011
- 2
- 0
matoto ana muadithia baba yake jinsi baba yakelivyo chenga!
Mtoto: Mama nikwambie!
Mama: sema mwanangu
Mtoto: wewe ulivyo safiri baba alikuwa anaogopa kulala peke yake chumbani alikuwa anamuita House girl wetu alale naye
mama nusura azimie!
Mtoto: Mama nikwambie!
Mama: sema mwanangu
Mtoto: wewe ulivyo safiri baba alikuwa anaogopa kulala peke yake chumbani alikuwa anamuita House girl wetu alale naye
mama nusura azimie!