Globu
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 8,569
- 2,068
Kuna mlevi alipanda daladala, kwa bahati alikaa siti moja na Padre. Yule Padre kwa upole akamwambia yule mlevi 'nakuonea huruma sababu unaenda motoni bila kujijua'.
Yule mlevi akashtuka na kuanza kupiga kelele 'wewe dereva, simamisha gari mie sielekei motoni, naelekea Magomeni' abiria wote hoi!!!
Yule mlevi akashtuka na kuanza kupiga kelele 'wewe dereva, simamisha gari mie sielekei motoni, naelekea Magomeni' abiria wote hoi!!!