Mkubwa Jalala
Senior Member
- Mar 21, 2012
- 112
- 23
Kuna jamaa m1 alikua mlevi sana kunasiku alihubiriwa na kukubali kuokoka.
Mchungaji akamzamisha kwenye maji alipo muibua akamwabia sasa umezaliwa
upya na umekuwa kiumbe kipya hutoitwa Ngajiro tena sasa jinalako litakuwa Joseph.
Yule mlevi alipo rudi nyumbani alichukua chupa ya Bia na akaitumbukiza kwenye ndoo ya maji
alipoitoa akasema sasaumezaliwa upya hutoitwa Safari tena jina lako ni Fanta.
Mchungaji akamzamisha kwenye maji alipo muibua akamwabia sasa umezaliwa
upya na umekuwa kiumbe kipya hutoitwa Ngajiro tena sasa jinalako litakuwa Joseph.
Yule mlevi alipo rudi nyumbani alichukua chupa ya Bia na akaitumbukiza kwenye ndoo ya maji
alipoitoa akasema sasaumezaliwa upya hutoitwa Safari tena jina lako ni Fanta.