Mjanga
JF-Expert Member
- Feb 13, 2011
- 1,238
- 324
Hacheni watu wafaudu nchi yao!
mbona za wabunge haohao wa kamati wanapolazimisha Posho zao za wizi tunalia lakini hakuna anayesikia??
Utasikia Waziri wenu Mkuu, naye anasema heti wanamadeni mengi hivo waongezwe Posho!
hivi ukikopa..kumbe serikali inalazimika kukuongezea kipato???
Mbona kada nyingine, mfano waalimu wa shule za msingi, mapolisi etc wenye mishahara midogo
wanapokopa na kurudi na Salary Slips bila hela kila mwisho wa mwezi hatujawai sikia wakisemewa
kuongezwa posho? mbaya zaidi hata madeni yao ulipwa kwa shida kwelikweli!!
HAYA NDIYO MADHARA YA KUCHAGUA VIONGOZI V*I*L*A*Z*A, AMBAO PIA WANAFANYA
uteuzi ulaza!
waliokula hela za EPA wako wapi??
eeeeh Mungu inusuru hii nchi kutoka kwenye mapanga na mishale iliyo mbele yetu!
mbona za wabunge haohao wa kamati wanapolazimisha Posho zao za wizi tunalia lakini hakuna anayesikia??
Utasikia Waziri wenu Mkuu, naye anasema heti wanamadeni mengi hivo waongezwe Posho!
hivi ukikopa..kumbe serikali inalazimika kukuongezea kipato???
Mbona kada nyingine, mfano waalimu wa shule za msingi, mapolisi etc wenye mishahara midogo
wanapokopa na kurudi na Salary Slips bila hela kila mwisho wa mwezi hatujawai sikia wakisemewa
kuongezwa posho? mbaya zaidi hata madeni yao ulipwa kwa shida kwelikweli!!
HAYA NDIYO MADHARA YA KUCHAGUA VIONGOZI V*I*L*A*Z*A, AMBAO PIA WANAFANYA
uteuzi ulaza!
waliokula hela za EPA wako wapi??
eeeeh Mungu inusuru hii nchi kutoka kwenye mapanga na mishale iliyo mbele yetu!