hello Jf Members
I'am a new member,i salute you all
good day!
baada ya salamu naomba nami niikumbushe mkwawa kwa kweli mmenikumbusha mbali enzi hizo,nakumbuka ugonjwa wa kipindupindu ulienea sana Iringa tukapewa Tetracycline kwa ajili ya kinga na wengine zilitusumbua sana,nikimkumbuka yule mama alikua anafundisha Biology nimemsahau jina alikua anakaa kule Magembe West,naomba mnikumbushe jamani na yule mwalimu mrefu wa kihaya nimesahau jina lake lakini kama Ruta..... something like that,nakumbuka pia yule jamaa alikuwa kiranja wa Bwalo somebody Francis Kayombo aaaaaa Mkwawa jamani.
Long Live Mkwawa
I'am a new member,i salute you all
good day!
baada ya salamu naomba nami niikumbushe mkwawa kwa kweli mmenikumbusha mbali enzi hizo,nakumbuka ugonjwa wa kipindupindu ulienea sana Iringa tukapewa Tetracycline kwa ajili ya kinga na wengine zilitusumbua sana,nikimkumbuka yule mama alikua anafundisha Biology nimemsahau jina alikua anakaa kule Magembe West,naomba mnikumbushe jamani na yule mwalimu mrefu wa kihaya nimesahau jina lake lakini kama Ruta..... something like that,nakumbuka pia yule jamaa alikuwa kiranja wa Bwalo somebody Francis Kayombo aaaaaa Mkwawa jamani.
Long Live Mkwawa