Hivi ni kwanini tunang'ang'ania sana kuingiza mlima k/njaro ktk maajab 7 ya dunia wakati tuna vivutio vingi tu! Unajua hii ni nchi ya kwanza ambayo watoto wa darasa la 7 wanahitimu bila kujua kusoma & kuandika, ila wanafaulu mitihani? kwanini tusitumie hayo yawe maajabu ya kwanza ya dunia? TAFAKARI."....lol
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.