Mkuu wa zamani wa Majeshi ya Ulinzi is NO MORE

Lazima aende akasaini daftari la waombolezaji.

Alishasaini in advance

ch2.jpg
 
Moshe dayan
Nadhani ile ni kazi alisomea ambayo hata wewe ungeweza fanya
Na ndiyo maana muda wake wakutoka ofisini ulipofika aliondoka na mwingine akaendeleza.
But hiki cha Kanumba ni cha kipekee, si rahisi kupata mtu mwingine akaweza kutoa kama The great.
R.IP. Mzee mkuu wa majeshi wa zamani
 
Aliyekuwa mkuu wa majeshi 1988 hadi 1994 jenerali Ernest Mwita Kyaro amefariki dunia saa 3:55 asb. akiwa njiani kuelekea Bugando hospitali.

Tweet by ITV
pumzika kwa amani jenerali.....

jk akatoe mil 10 na huko
 
Nadhani kwa kuonesha utofauti wetu ..wa kimtazamo...na utaifa wetu ...,wana JF tuonyeshe njia ....tuwape umuhimu mkubwa wiki hii yote ...

mkuu wa jeshi la polisi mstaafu harun mahundi
mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama mstaafu Ernest Mwita Kiaro...

Kwa kuwa hawa wanafiki na wapambe wao wanapita humu wataona aibu ....na kujirekebisha.....

1. Tuweke thread stick ya kuwakumbuka mashujaaa waliotukuka ernest mwita kiaro na harun mahundi
2.tuweke picha zao angalau ndogo kwenye home page yetu hadi ijumaaa

MoD Naomba kutoa hoja......kwa minajili ya kunyoosha taifa ....na kurudisha misingi na priorities kadiri inavyotakiwa.....

Chakunyuma says thank you for this useful post.
 
Wana JF,
Nimepata taarifa kuwa aliekuwa mkuu wa Majeshi wakati wa vita vya Kagera Afande Kyaro amefariki dunia.
Mungu amlaza marehemu mahala pema peponi.
 
Mkuu Mtambuzi,

Serekali ya J Kikwete inajali sana misiba unakumbuka Dada Regia Mtema alipewa heshima kubwa na mkuu wa Magogoni nadhani ndiyo jambo wanaloweza hawana kitu kingine zaidi ya misiba.


Naamini na yeye mazishi yake yatakua LIVE kwenye LUNINGA ya TBC1 kama ya KANUMBA....................
RIP Mkuu wa Majeshi wetu Mstaafu
 
raha ya milele uumpe ee Bwana
apumzike kwa amani
kazi uliyotumwa duniani umeikamilisha
R.I.P
 
RIP Mkuu Mwita Kiaro Nakumbuka miaka ile ulivyompiga biti Raisi mwinyi wakati huo......kisa ilikuwa watoto wa mzee mwinyi kuwavimbishia vifua watoto wa Mkuu wa majeshi........ ! Jamani huu ni msiba mkubwa sana, huyu ni mpiganaji alieshiriki ukombozi wa nchi yetu dhidi ya uvamizi wa Ndili Idd na ukombozi mwingine ambao TZ ilishiriki wakati huo.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Wakati nchi imewekwa kwenye maigizo ya Kanumba .........tunampoteza shujaa wa vita ..,mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama Generali Ernest Mwita Kiaro .....ikiwa ni wiki moja baada ya kumpoteza Mkuu wa jeshi la polisi mstaafu inspecta general Haroun Mahundi.........
Sasa Mungu anataka kutonyesha watanzania watu muhimu kwetu...

I have quoted John F .Kennedy somewhere else but I think it is pertinent that I repeat that quote here:- " A nation reveals itself not only by the men it produces but also by the men it honors......."
 
nawapa pole na mungu awape nguvu familia yake maana bado walikuwa wanamwitaji kwa ajili ya msaada wa ushauri na malezi zidi hatuna budi kusema bwana ametwaa,jina la bwana lihimidiwe; amina.
 
Back
Top Bottom