kichwat
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 1,819
- 587
Huyo mke nae mjinga angeyamaliza na mme wake au kifamilia tu!sasa kumchafua mme wake ndo nini?kina magufuli hadi wana vimada na mke anajua na anaishi na mtoto wa kimada wa magufuli!
Sijafurahia kitendo cha mke wa huyu mkuu wa wilaya!mimi siwezi muabisha namna hii mme wangu!wangeyamaliza kibusara tu!
...kweli kabisa. Kwa mke mchepukaji hii wala sio tatizo. Tatizo ni kwa mke safi asiyejua kuchepuka.