tumewahi kujiuliza serikali inatumia shs ngapi kila mwaka kwa ajili yamichezo ya shimiwi, wakati wilaya 40 zina njaa wananchi wengine wako busy wanavutana kamba, kucheza bao, karata nakadhalika. Kwa gharama ya serikali.
Ukiuliza umuhimu wa shimiwi, wanasema michezo inajenga afya, mbona hatuangalii afya ya wasio na chakula au hiyo sio afya?????our priorities kweli zinachekesha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.