Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,743
Kwani sheria zilizombana Mh Kihiyo wao haziwahusu?
Mkuu, suala hili limepamba moto sana hapa kwetu, Dk.Mwakyembe aliwahi kuonya kuhusu saula hili lakini alipuuzwa - binafsi nina imani kwamba mbele ya Dk.Magufuli saula hilo litakuwa addressed kikamilifu.