M mjuaji Senior Member Apr 6, 2012 166 22 Sep 23, 2012 #81 mara mia walimu waliofeli,yeye aliyeongwa U.DC.MWANAUME MZIMA.
josefast JF-Expert Member Dec 5, 2011 372 134 Sep 23, 2012 #82 da jamaa ni **** xana sasa kama yeye alifundishwa na watu walofel anaongea nini huo ukuu wa wilaya aliusomea wap?
da jamaa ni **** xana sasa kama yeye alifundishwa na watu walofel anaongea nini huo ukuu wa wilaya aliusomea wap?
L La Voz Member May 27, 2011 74 11 Sep 23, 2012 #83 Aisee, walimu wamefanywa jalala kila mwenye hasira zake anamalizia kwao...huyu dc amekosa nidhamu, awajibishwe
Aisee, walimu wamefanywa jalala kila mwenye hasira zake anamalizia kwao...huyu dc amekosa nidhamu, awajibishwe
654 Senior Member Feb 1, 2012 172 40 Sep 23, 2012 #84 mikela said: Dr Norman Sigalla, Mkuu Wa Wilaya Mbeya. "Ualimu Ni Fani Ya Watu Waliofeli Hivyo Hawana Sababu Ya Kudai Nyongeza Ya Mishahara". Click to expand... Waalimu wenzao Kenya kimeeleweka! asubiri hapo ofisini kwake aone yatakayompata
mikela said: Dr Norman Sigalla, Mkuu Wa Wilaya Mbeya. "Ualimu Ni Fani Ya Watu Waliofeli Hivyo Hawana Sababu Ya Kudai Nyongeza Ya Mishahara". Click to expand... Waalimu wenzao Kenya kimeeleweka! asubiri hapo ofisini kwake aone yatakayompata