Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,597
- 5,788
Mbona wakuu wa wilaya na mikoa ni kazi ya walioshindwa kwenye kura za maoni na ubunge lakini wanalipwa vizuri? Manesi nao wana elimu gani tofauti na walimu? Tena tujiandae kuwa taifa la viwete muda mfupi ujao kwa kuchomwa sindano pasipostahili maana mpaka div 4 za 33 wanachaguliwa kusomea unesi, angalau ata ualimu wana limit ya paint 26.
ndio maana mnafeli. Uzi unahusu waalimu.