VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,355
Kidnapping is wrong!
Thats what happen when wananchi wanadai haki na kutopewa..... Chaos erupts people's power, they eventually take it themself. right or wrong
Kidnapping is wrong!
mkuu sijasema kwamba kakosea kuwaomba radhi wahadhiri, tatizo ni mbinu aliyotumia kwamba anaumwa malaria, naamini ni usanii kwani kesho ana uhakika gani atakuwa na afya? Swala ni kwamba alizidiwa na mambo na alitakiwa kuwa mkweli, nadhani angeeleweka vema zaidi kuliko alivyofanya.
Solidarity UDOM forever.
Kuna evidence kwamba hana malaria. Hata kuwatajia malaria ni ihsani angeweza akasema anamatatizo ya kiafya. Suala la kesho ni jingine, tusubiri tuone na badala ya kutuhumu, kushutumu na kudhani. Why cannt you guys give him the benefit of doubt halafu muone. Kwenye hili nakueleza na kesho Pinda atawaeleza kuwa si suala la uongozi wa UDOM km mnavyoamini mpaka sasa.
Kwa hiyo wakipewa wanacho kitaka, washtakiwe kwa utekaji nyara, au sio?Thats what happen when wananchi wanadai haki na kutopewa..... Chaos erupts people's power, they eventually take it themself. right or wrong
Kwa hiyo wakipewa wanacho kitaka, washtakiwe kwa utekaji nyara, au sio?
hayo ndiyo waliyoyataka yatolkee kwa kumuacha kiongozi mbovu, sasa acha atolewe kwa nguvu na mbwebwe, nakuunga mkono Voice of reasonif diplomacy fails thats what happens unfortunately even innocent ones suffer
Ndg wanajamii, nina habari za uhakika mkuu wa wilaya wa Dodoma ametekwa na msafara wake na wanafunzi wa chuo cha elimu, wakimtaka waziri mkuu Pinda aje na kuondoka na makamu mkuu wa chuo fedha na utawala Mlacha.
Waziri mkuu alikitembelea UDOM tangu mchana lakini mpaka sasa ameshindwa kukutana na makundi kadhaa ya wana UDOM hususa Wanataaluma ambao wapo kwenye mgomo baridi tangu J3.
Wanafunzi hao wametoa upepo msafara wa mkuu wa wilalaya na kuziba kioo cha mbele kwa mabango huku wakipiga kelele kumuomba Pinda aje.
Nitazidi kuwapasha...
Sasa kwanini msimteke muhusika mkuu kama kweli bifu mnaliweza?if diplomacy fails thats what happens unfortunately even innocent ones suffer