Kabembe
JF-Expert Member
- Feb 11, 2009
- 2,548
- 1,741
Taking away of a person against the person's will is kidnapping, and kidnapping is criminal (unlawful act).
F.u.c.k the Law
Taking away of a person against the person's will is kidnapping, and kidnapping is criminal (unlawful act).
F.u.c.k the Law
Amewaomba radhi mnataka nini? Halafu nyie wahadhiri ndio mnataka mumpangie muda Waziri Mkuu? Wakulima wa Mahindi nao wakifanya hivyo? Kesho wa Korosho? Na kesho kutwa wauza mitumba!!! Inawezekana mnayo ya msingi ya kulalamika lakini hoja kama hii ni ya kitoto, amewataka radhi tayari ni heshima. Uungwana unahitajika.Pinda ameomba radhi, na kusingizia kwamba anaumwa malaria kwa hiyo waahirishe mkutano, na kuwapa ahadi eti anakuja kesho saa tano mpaka tano.
kamtuma waziri wa elimu aombe radhi kwa kilichotokea na kwamba keshoa aendelee. Wahadhiri wanalalamika kwanini awanyanyase kuwapangia muda kesho?
Na anauhakika gani kesho atakuwa okay? Kama sio usanii?
Mbona makamu mkuu wa chuo fedha na utawala Mlacha yipo afisini kwa Waziri Mkuu hapa Dodoma
nahisi kama vile kaitwa kujieleza halafu wayafunike hukuhuku, huko chuoni wakija ni geresha tu.
Amewaomba radhi mnataka nini? Halafu nyie wahadhiri ndio mnataka mumpangie muda Waziri Mkuu? Wakulima wa Mahindi nao wakifanya hivyo? Kesho wa Korosho? Na kesho kutwa wauza mitumba!!! Inawezekana mnayo ya msingi ya kulalamika lakini hoja kama hii ni ya kitoto, amewataka radhi tayari ni heshima. Uungwana unahitajika.
Amewaomba radhi mnataka nini? Halafu nyie wahadhiri ndio mnataka mumpangie muda Waziri Mkuu? Wakulima wa Mahindi nao wakifanya hivyo? Kesho wa Korosho? Na kesho kutwa wauza mitumba!!! Inawezekana mnayo ya msingi ya kulalamika lakini hoja kama hii ni ya kitoto, amewataka radhi tayari ni heshima. Uungwana unahitajika.
Hata hao viongozi uliwataja wa Western pia nao hukumbwa na dharura na kuahirisha kama sikusogeza muda mbele. Wengine hucancel kabisa hata hizo safari. Well kasema anaumwa, kuna tatizo gani? Mbona watu tunajitishwa mno uwanamkubwa. Bahati mbaya hawa wahadhiri wengi miongoni mwao huwazungusha wanafunzi kwa appointment zisizo eleweka. Amesema atawasikiliza!Mkuu, MH PInda ndo aliwapa muda, kisha akachelewa masaa 6 na akamtuma mtu kuomba radhi na kuwapangia tena muda mwingine. Hii ni dharau. Kama alijua hawezi kuhudhuria mkutano angetoa taarifa mapema. Hii haina excuse hata uwe President Obama ni lazima uheshimu muda wa watu. Ni tabia mbaya na dharau kubwa! Hata angewafanyia hivyo wakulima wa korosho bado ukweli unabaki kuwa ni dharau.
Kidnapping is wrong!F.u.c.k the Law